Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz)

Watu wangu wa nguvu kutokea rock city Mwanza walipata bahati ya kutembelea Mlimani City yao kwa mara ya kwanza inaitwa “Rock City Shopping Mall” kwenye utambulisho rasmi baada ya kukamilika kwa ujenzi uliochukua zaidi ya miaka miwili, watu walifanya shopping za nguvu na kufurahi na burudani kutoka kwenye vipaji vyao mpaka kwa mkali wa sauti Barnaba […]

The post Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio)

Kwa mara nyingine tena nakusogezea stori kutokea Mwanza kuhusiana na jengo jipya la Rock City Mall ambalomiezi kadhaa iliyopita lilianza kuchukua headlines baada ya kuonekana ndio Shopping Mall kubwa kuwahi kujengwa katika jiji hilo. hapa nakukutanisha na Joseph Mlinzi kabibu wa kampuni iliyojenga jengo hilo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Good News: Rock City Mall imekamilika, hizi ndio sifa zake kubwa usizozijua…(+Audio) appeared first...

 

10 years ago

Dewji Blog

Usajili wa mbio za Rock City wazinduliwa Mwanza

1

Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akionyesha fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26 baada ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza, jana. (Na Mpigapicha wetu).

-Mstahiki Meya wa Mwanza kuchuana 5km

Na Mwandishi wetu, Mwanza

Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula amekuwa mtu wa kwanza kujisajili Kanda ya Ziwa kushiriki mbio za Rock City Marathon, huku akiwataka viongozi kuhakikisha wanafufua mchezo huo...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA MWANZA KUSHIRIKI ROCK CITY MARATHON

 Katibu wa idara ya utumishi wa waalimu mkoa wa Mwanza, Genzi Sahani (wa pili kushoto), akipokea fomu ya usajili kutoka kwa Katibu wa chama cha riadha Mwanza, Peter Mujaya (wa pili kulia), kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye jana alijisajili rasmi kushiriki katika mbio za kilomita tano katika mbio za Rock City Marathon zinazotarajia kufanyika tarehe 15 Novemba, 2015 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Wanaoshuhudia ni Kaimu Afisa Michezo mkoa wa Mwanza, Kizito Bahati (kushoto)...

 

9 years ago

Michuzi

Rock City Marathon 2015 yatikisa jiji la Mwanza

Mwenyekiti wa chama cha riadha mkoa wa Mwanza Silas Lucas akiwapa maelekezo wakimbiaji wa km 21 wakati wa mbio za Rock City Marathon kabla ya mbio kuanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza jana. Wanariadha katika kundi la km 21 wakikatiza katika mitaa ya jiji la Mwanza kuelekea katika viwanja vya CCM Kirumba kumaliza mbio  hizo. Festus Taram kutoka Kenya akimaliza katika nafasi ya kwanza kwenye mbio za Rock City Marathon zilizofanyika jijini Mwanza jana baada ya kutumia muda wa saa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza

kinabo (3)

Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa  habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo  watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto  ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.

meneja tigo pesa kanda ya ziwa (1)

Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa  Orry, akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

BBC

Shopping mall terror threat 'serious'

The head of US homeland security warns shoppers to be vigilant after Somalia-based terror group al-Shabab urges followers to attack shopping centres.

 

9 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA USAJILI WA WASHIRIKI WA MBIO ZA ROCK CITY MARATHON 2015 WAFANYIKA JIJINI MWANZA.

Na:George Binagi-GB Pazzo
Hiyo ilikuwa katika Uzinduzi wa Usaili wa Washiriki wa mbio hizo za Rock City Marathon 2015 ambazo zilianza kufanyika Jijini Mwanza tangu mwaka 2009.
Mbio hizo (mashindano) huandaliwa na Kampuni ya Capital Plus International na kudhaminiwa na Makampuni mbalimbali ikiwemo Mdhamini Mkuu Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF, Precision Air, Bodi ya Utalii Tanzania, New Mwanza Hotel na Bank M huku lengo lake likiwa ni kukuza mchezo huo pamoja na kuhimiza utalii wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WINDHOCK YAKUTANISHA MARAFIKI ROCK BOTTOM NDANI YA ROCK CITY

Meneja mauzo wa Kampuni ya Mabibo Beer Godfrey M. ambao pia ni wasambazaji wa bia ya Windhock, akitoa maelezo ya ubora wa bia hiyo kwenye hafla maalum iliyoandaliwa na kampuni hiyo mahsusi kwaajili ya kuwakutanisha marafiki na kufurahia uzuri wa kinywaji hicho. Mpango mzima ulifanyika ndani ya Club Rock Botton, Gold Crest Hotel jijini Mwanza.Kulia ni Meneja mauzo wa Kampuni ya Mabibo Beer Godfrey M. akifuatiwa na Maafisa wengine toka kampuni hiyo Rahim Kabyemela (katikati) na Mr. Okere...

 

10 years ago

Michuzi

Mwanza, Nyama Choma Festival inakuja Rock City - Jembe Ni Jembe Oktoba 25, 2014.


 Taswira za Nyama Choma Festival iliyofana sana katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es salaam nyama choma festival ya 6th September. Mambo haya yanahamia Mwanza Oktoba 25, 2015Kwa picha zaidi BOFYA LINK HIIhttps://www.facebook.com/media/set/?set=a.753558134705471.1073741852.164302240297733&type=3


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani