UZINDUZI WA USAJILI WA WASHIRIKI WA MBIO ZA ROCK CITY MARATHON 2015 WAFANYIKA JIJINI MWANZA.
Na:George Binagi-GB Pazzo
Hiyo ilikuwa katika Uzinduzi wa Usaili wa Washiriki wa mbio hizo za Rock City Marathon 2015 ambazo zilianza kufanyika Jijini Mwanza tangu mwaka 2009.
Mbio hizo (mashindano) huandaliwa na Kampuni ya Capital Plus International na kudhaminiwa na Makampuni mbalimbali ikiwemo Mdhamini Mkuu Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF, Precision Air, Bodi ya Utalii Tanzania, New Mwanza Hotel na Bank M huku lengo lake likiwa ni kukuza mchezo huo pamoja na kuhimiza utalii wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Usajili wa mbio za Rock City wazinduliwa Mwanza
Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akionyesha fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26 baada ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza, jana. (Na Mpigapicha wetu).
-Mstahiki Meya wa Mwanza kuchuana 5km
Na Mwandishi wetu, Mwanza
Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula amekuwa mtu wa kwanza kujisajili Kanda ya Ziwa kushiriki mbio za Rock City Marathon, huku akiwataka viongozi kuhakikisha wanafufua mchezo huo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ij4BJpynNW8/VkmllIAuCAI/AAAAAAADCcc/TQhjNKG_SIQ/s72-c/RCM%2BPIC%2B1%2B.jpg)
Rock City Marathon 2015 yatikisa jiji la Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-ij4BJpynNW8/VkmllIAuCAI/AAAAAAADCcc/TQhjNKG_SIQ/s640/RCM%2BPIC%2B1%2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4eiGnV3-DIY/VkmlJISAttI/AAAAAAADCcE/iQOy_1zviGE/s640/RCM%2BPIC%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yEdYTDh3O7Y/Vkml7fCBAgI/AAAAAAADCck/pnubl2LT5So/s640/RCM%2BPic%2B4%2B.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
TSN Group yapongeza kuanzishwa kwa mbio fupi katika Rock City Marathon 2014
Afisa Mtendaji Mkuu wa TSN group, Bw. Farough Baghozah (wapili kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 13 iliyotolewa na kampuni hiyo kudhamini mbio za Rock City Marathon 2014 zitakazofanyika mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba tarehe 26 Mwezi huu. Wakishuhudia kulia ni Mkurugenzi wa Operesheni wa TSN Group Bi. Pamela Mandari, Mratibu wa mbio hizo, Bw. Mathew Kasonta (wapili kushoto) na Afisa Uhusiano na...
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA MWANZA KUSHIRIKI ROCK CITY MARATHON
9 years ago
MichuziROCK CITY MARATHON 2015 YAZINDULIWA, KUTIMUA VUMBI NOVEMBA 15
10 years ago
VijimamboUZINDUZI NA UTAMBULISHO WA SHIRIKA LA SAVE VULNERABLE FOUNDATION WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO MACHI 3,2015
10 years ago
GPLUZINDUZI NA UTAMBULISHO WA SHIRIKA LA SAVE VULNERABLE FOUNDATION WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO MACHI 3,2015
9 years ago
Habarileo30 Sep
Malinzi azindua Rock City Marathon
MWENYEKITI wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi amezindua msimu wa saba wa mbio za Rock City Marathon zitakazofanyika Novemba 15, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mbio za Rock City 2014 zatiafora
Wakimbiaji kutoka makampuni mbalimbali na walemavu wa ngozi (albino) wakichuana katika Mbio za Rock City Marathon (Kilomita 5) zilizowahusisha walemavu wa ngozi na watu kutoka makampuni mbalimbali Jijini Mwanza Jana.
-Mtanzania ashinda mbio za kilometa 21
Mwandishi Wetu, Mwanza
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza maofisa utamaduni na michezo kuandaa mikakati jinsi ya kushiriki kikamilifu mashindano ya Rock City Marathon mwakani.
Akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio kwenye...