Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usajili wa mbio za Rock City wazinduliwa Mwanza

1

Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akionyesha fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26 baada ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza, jana. (Na Mpigapicha wetu).

-Mstahiki Meya wa Mwanza kuchuana 5km

Na Mwandishi wetu, Mwanza

Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula amekuwa mtu wa kwanza kujisajili Kanda ya Ziwa kushiriki mbio za Rock City Marathon, huku akiwataka viongozi kuhakikisha wanafufua mchezo huo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA USAJILI WA WASHIRIKI WA MBIO ZA ROCK CITY MARATHON 2015 WAFANYIKA JIJINI MWANZA.

Na:George Binagi-GB Pazzo
Hiyo ilikuwa katika Uzinduzi wa Usaili wa Washiriki wa mbio hizo za Rock City Marathon 2015 ambazo zilianza kufanyika Jijini Mwanza tangu mwaka 2009.
Mbio hizo (mashindano) huandaliwa na Kampuni ya Capital Plus International na kudhaminiwa na Makampuni mbalimbali ikiwemo Mdhamini Mkuu Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF, Precision Air, Bodi ya Utalii Tanzania, New Mwanza Hotel na Bank M huku lengo lake likiwa ni kukuza mchezo huo pamoja na kuhimiza utalii wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbio za Rock City 2014 zatiafora

Albino+Corporate (2)

Wakimbiaji kutoka makampuni mbalimbali na walemavu wa ngozi (albino) wakichuana katika Mbio za Rock City Marathon (Kilomita 5) zilizowahusisha walemavu wa ngozi na watu kutoka makampuni mbalimbali Jijini Mwanza Jana.

-Mtanzania ashinda mbio za kilometa 21

Mwandishi Wetu, Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza maofisa utamaduni na michezo kuandaa mikakati jinsi ya kushiriki kikamilifu mashindano ya Rock City Marathon mwakani.

Akikabidhi zawadi kwa washindi wa mbio  kwenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

NSSF yanogesha mbio za Rock City 2014

NSSF 1

Afisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Jumanne Mbepo (kulia) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 15 ili kudhamini mbio za Rock City Marathon 2014 Mratibu wa mbio hizo Bw. Mathew Kasonta (kushoto) katika hafla ya kukabidhi hundi hiyo na kutangaza rasmi zawadi zitakazotolewa katika mbio hizo iliyofanyika jijini Dar es Salaam Jana. Mbio hizo zitafanyika mkoani Mwanza, katika uwanja wa CCM Kirumba tarehe 26 mwezi Oktoba mwaka huu. NSSF ikiwa kama mdamini mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mbio za Rock City 2014 zatia fora

Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mwanza, Bw. Hamis Faki (wa pili kushoto) akitoa hotuba wakati wa kuhitimisha Mbio za Rock City Marathon zilizofanyika jijini Mwanza Jana. Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha nchini Suleiman Nyambui,akiwapa maelekezo wakimbiaji wa Km 21, kabla ya mbio kuanza,kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.Mratibu wa Mbio za Rock City Marathon 2014 kutoka kampuni ya Capital Plus International Limited (CPI), akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

TSN Group yapongeza kuanzishwa kwa mbio fupi katika Rock City Marathon 2014

1

Afisa Mtendaji Mkuu wa TSN group, Bw.  Farough Baghozah  (wapili kulia)akifafanua jambo  kwa waandishi wa habari wakati wa kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 13 iliyotolewa na kampuni hiyo kudhamini mbio za Rock City Marathon 2014 zitakazofanyika mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba tarehe 26 Mwezi huu. Wakishuhudia kulia ni Mkurugenzi wa Operesheni wa TSN Group Bi. Pamela Mandari, Mratibu wa mbio hizo, Bw. Mathew Kasonta (wapili kushoto) na Afisa Uhusiano na...

 

9 years ago

Michuzi

Rock City Marathon 2015 yatikisa jiji la Mwanza

Mwenyekiti wa chama cha riadha mkoa wa Mwanza Silas Lucas akiwapa maelekezo wakimbiaji wa km 21 wakati wa mbio za Rock City Marathon kabla ya mbio kuanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza jana. Wanariadha katika kundi la km 21 wakikatiza katika mitaa ya jiji la Mwanza kuelekea katika viwanja vya CCM Kirumba kumaliza mbio  hizo. Festus Taram kutoka Kenya akimaliza katika nafasi ya kwanza kwenye mbio za Rock City Marathon zilizofanyika jijini Mwanza jana baada ya kutumia muda wa saa...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA MWANZA KUSHIRIKI ROCK CITY MARATHON

 Katibu wa idara ya utumishi wa waalimu mkoa wa Mwanza, Genzi Sahani (wa pili kushoto), akipokea fomu ya usajili kutoka kwa Katibu wa chama cha riadha Mwanza, Peter Mujaya (wa pili kulia), kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye jana alijisajili rasmi kushiriki katika mbio za kilomita tano katika mbio za Rock City Marathon zinazotarajia kufanyika tarehe 15 Novemba, 2015 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Wanaoshuhudia ni Kaimu Afisa Michezo mkoa wa Mwanza, Kizito Bahati (kushoto)...

 

9 years ago

MillardAyo

Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz)

Watu wangu wa nguvu kutokea rock city Mwanza walipata bahati ya kutembelea Mlimani City yao kwa mara ya kwanza inaitwa “Rock City Shopping Mall” kwenye utambulisho rasmi baada ya kukamilika kwa ujenzi uliochukua zaidi ya miaka miwili, watu walifanya shopping za nguvu na kufurahi na burudani kutoka kwenye vipaji vyao mpaka kwa mkali wa sauti Barnaba […]

The post Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz) appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

WINDHOCK YAKUTANISHA MARAFIKI ROCK BOTTOM NDANI YA ROCK CITY

Meneja mauzo wa Kampuni ya Mabibo Beer Godfrey M. ambao pia ni wasambazaji wa bia ya Windhock, akitoa maelezo ya ubora wa bia hiyo kwenye hafla maalum iliyoandaliwa na kampuni hiyo mahsusi kwaajili ya kuwakutanisha marafiki na kufurahia uzuri wa kinywaji hicho. Mpango mzima ulifanyika ndani ya Club Rock Botton, Gold Crest Hotel jijini Mwanza.Kulia ni Meneja mauzo wa Kampuni ya Mabibo Beer Godfrey M. akifuatiwa na Maafisa wengine toka kampuni hiyo Rahim Kabyemela (katikati) na Mr. Okere...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani