ROCK CITY MARATHON 2015 YAZINDULIWA, KUTIMUA VUMBI NOVEMBA 15
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (wa kwanza kushoto) akiwa kwenye hali ya furaha mara baada ya kuzindua msimu wa saba wa mbio za Rock City Marathon zinazotarajiwa kufanyika Novemba 15 mwaka huu katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Wengine ni pamoja na Meneja Mkuu wa kampuni ya Capital Plus International (CPI) ambao ndio warataibu wa mbio hizo Bw Erasto Kilawe (mwenye shati jeupe), Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ij4BJpynNW8/VkmllIAuCAI/AAAAAAADCcc/TQhjNKG_SIQ/s72-c/RCM%2BPIC%2B1%2B.jpg)
Rock City Marathon 2015 yatikisa jiji la Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-ij4BJpynNW8/VkmllIAuCAI/AAAAAAADCcc/TQhjNKG_SIQ/s640/RCM%2BPIC%2B1%2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4eiGnV3-DIY/VkmlJISAttI/AAAAAAADCcE/iQOy_1zviGE/s640/RCM%2BPIC%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yEdYTDh3O7Y/Vkml7fCBAgI/AAAAAAADCck/pnubl2LT5So/s640/RCM%2BPic%2B4%2B.jpg)
9 years ago
VijimamboUZINDUZI WA USAJILI WA WASHIRIKI WA MBIO ZA ROCK CITY MARATHON 2015 WAFANYIKA JIJINI MWANZA.
Hiyo ilikuwa katika Uzinduzi wa Usaili wa Washiriki wa mbio hizo za Rock City Marathon 2015 ambazo zilianza kufanyika Jijini Mwanza tangu mwaka 2009.
Mbio hizo (mashindano) huandaliwa na Kampuni ya Capital Plus International na kudhaminiwa na Makampuni mbalimbali ikiwemo Mdhamini Mkuu Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF, Precision Air, Bodi ya Utalii Tanzania, New Mwanza Hotel na Bank M huku lengo lake likiwa ni kukuza mchezo huo pamoja na kuhimiza utalii wa...
9 years ago
Michuzi22 Sep
MBIO ZA RIADHA ZA MOUNT MERU MARATHON KUTIMUA VUMBI OCTOBA 4 ARUSHA
![](http://www.pulsarnet.com/mtmeru/banner.jpg)
Katibu wa chama cha riadha mkoani hapa Alfredo Shahanga alisema kwuwa mbio hizo ni za...
9 years ago
Habarileo30 Sep
Malinzi azindua Rock City Marathon
MWENYEKITI wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi amezindua msimu wa saba wa mbio za Rock City Marathon zitakazofanyika Novemba 15, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
9 years ago
TheCitizen16 Nov
Kenyans rule supreme at Rock City Marathon
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wp01vzdUjJE/VBEtgRpLeEI/AAAAAAACqkw/7T3JiP3_sA0/s72-c/RCM%2B2.jpg)
Malinzi azindua Rock City Marathon 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wp01vzdUjJE/VBEtgRpLeEI/AAAAAAACqkw/7T3JiP3_sA0/s1600/RCM%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x7dKSxBe7KY/VBEtduCPD9I/AAAAAAACqko/_N2M_FKkgaI/s1600/RCM%2B3.jpg)
10 years ago
TheCitizen08 Sep
Rock City Marathon 2014 set for launch
10 years ago
Daily News26 Sep
Rock City marathon registration forms ready
Daily News
MWANZA City Mayor Stanslaus Mabula has become the first participant to register for the Rock City Marathon 2014 which will start and end at CCM Kirumba Stadium on October 26, this year. Launching the registration process in Mwanza, the mayor opted for ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rLEtRQtkFeI/VA1RTBW3h-I/AAAAAAAGhiA/8huZQw4qLzY/s72-c/unnamed.jpg)
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa keshokutwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-rLEtRQtkFeI/VA1RTBW3h-I/AAAAAAAGhiA/8huZQw4qLzY/s1600/unnamed.jpg)
kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya
New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace
Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya
riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa
mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa kuhudhuria uzinduzi huo.
Bi....