Rock City Marathon 2014 set for launch
The official launch of the sixth edition of Rock City Marathon 2014 which began in 2009 with the aim of promoting domestic tourism through sports is scheduled for September 10 at the New Africa Hotel.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rLEtRQtkFeI/VA1RTBW3h-I/AAAAAAAGhiA/8huZQw4qLzY/s72-c/unnamed.jpg)
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa keshokutwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-rLEtRQtkFeI/VA1RTBW3h-I/AAAAAAAGhiA/8huZQw4qLzY/s1600/unnamed.jpg)
kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya
New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace
Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya
riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa
mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa kuhudhuria uzinduzi huo.
Bi....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wp01vzdUjJE/VBEtgRpLeEI/AAAAAAACqkw/7T3JiP3_sA0/s72-c/RCM%2B2.jpg)
Malinzi azindua Rock City Marathon 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wp01vzdUjJE/VBEtgRpLeEI/AAAAAAACqkw/7T3JiP3_sA0/s1600/RCM%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x7dKSxBe7KY/VBEtduCPD9I/AAAAAAACqko/_N2M_FKkgaI/s1600/RCM%2B3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa kesho kutwa
Na Mwandishi Wetu
UZINDUZI wa msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014 zilizoanza mwaka 2009, zikiwa na lengo la kukuza Utalii wa Ndani kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa...
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
TSN Group yapongeza kuanzishwa kwa mbio fupi katika Rock City Marathon 2014
Afisa Mtendaji Mkuu wa TSN group, Bw. Farough Baghozah (wapili kulia)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 13 iliyotolewa na kampuni hiyo kudhamini mbio za Rock City Marathon 2014 zitakazofanyika mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba tarehe 26 Mwezi huu. Wakishuhudia kulia ni Mkurugenzi wa Operesheni wa TSN Group Bi. Pamela Mandari, Mratibu wa mbio hizo, Bw. Mathew Kasonta (wapili kushoto) na Afisa Uhusiano na...
9 years ago
Habarileo30 Sep
Malinzi azindua Rock City Marathon
MWENYEKITI wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi amezindua msimu wa saba wa mbio za Rock City Marathon zitakazofanyika Novemba 15, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
10 years ago
Daily News26 Sep
Rock City marathon registration forms ready
Daily News
MWANZA City Mayor Stanslaus Mabula has become the first participant to register for the Rock City Marathon 2014 which will start and end at CCM Kirumba Stadium on October 26, this year. Launching the registration process in Mwanza, the mayor opted for ...
9 years ago
TheCitizen16 Nov
Kenyans rule supreme at Rock City Marathon
10 years ago
TheCitizen27 Oct
ATHLETICS: TZ athletes shine at Rock City Marathon
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA MWANZA KUSHIRIKI ROCK CITY MARATHON