Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza

kinabo (3)

Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa  habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo  watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto  ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.

meneja tigo pesa kanda ya ziwa (1)

Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa  Orry, akizungumza na waandishi wa habari...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini gulio la Annual Charity Baazar

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari wakati wa gulio lililoandaliwa na wake wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania lenye lengo kusaidia jamii, Tigo ni wadhamini wa gulio hilo.

Mtoa huduma wa Tigo, Khalid Omary akitoa huduma kwa wateja wa Tigo kwenye gulio lililoandaliwa na wake wa mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini Tanzania lenye lengo kusaidia jamii. Watoa huduma wa Tigo, Joshua Samuel na Judith Alfred wakitoa huduma kwa mteja...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rocky City Mall, ya kwanza, ya kipekee

UKIFIKIRIA kwamba nakshi na usanifu wa jengo la kitega uchumi linalomilikiwa kwa ubia kati ya Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa (LAPF) na Halmshauri ya Jiji la Mwanza, ni urembo na mbwembwe tu za wasanifu majengo ili kurembesha kazi zao, unahitaji kubungua ubongo upya, kwa sababu utakuwa umekosea.

Jengo hilo ‘Rocky City Mall’ lililoko eneo maarufu la Ghana, Kata ya Kirumba, jijini Mwanza, kwenye makutano ya Barabara za Makongoro na Furahisha, si tu linaanza kuitimiza ndoto ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz)

Watu wangu wa nguvu kutokea rock city Mwanza walipata bahati ya kutembelea Mlimani City yao kwa mara ya kwanza inaitwa “Rock City Shopping Mall” kwenye utambulisho rasmi baada ya kukamilika kwa ujenzi uliochukua zaidi ya miaka miwili, watu walifanya shopping za nguvu na kufurahi na burudani kutoka kwenye vipaji vyao mpaka kwa mkali wa sauti Barnaba […]

The post Kilivyo happen katika utambulisho rasmi wa Rock City Shopping Mall Mwanza (+Pichaz) appeared first on...

 

9 years ago

Dewji Blog

MFUMUKO WA BEI: Bidhaa mbalimbali zatikisa soko kuu jijini Mwanza!

Kwa takribani Wiki mbili sasa, Mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali kupanda katika Soko Kuu la Jijini Mwanza umeendelea kuwaliza watumiaji wa soko hilo. Na:George Binagi-GB Pazzo Mfumuko huo unalalamikiwa na pande zote mbili kwa maana ya wauzaji na wanunuaji sokoni hapo, ambapo wameomba hatua za haraka kuchukuliwa ili kiweka mambo sawa.   Bei kwa nafaka zote sokoni hapo zimepanda bei hadi shilingi 1,000 kwa kila moja tofauti na hapo awali ambapo bidhaa iliyokuwa ikiuzwa shilingi 15,000 sasa...

 

9 years ago

Michuzi

MFUMUKO WA BEI ZA BIDHAA MBALIMBALI WATIKISA SOKO KUU JIJINI MWANZA.

Kwa takribani Wiki mbili sasa, Mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali kupanda katika Soko Kuu la Jijini Mwanza umeendelea kuwaliza watumiaji wa soko hilo.Na:George Binagi-GB PazzoMfumuko huo unalalamikiwa na pande zote mbili kwa maana ya wauzaji na wanunuaji sokoni hapo, ambapo wameomba hatua za haraka kuchukuliwa ili kiweka mambo sawa.
Bei kwa nafaka zote sokoni hapo zimepanda bei hadi shilingi 1,000 kwa kila moja tofauti na hapo awali ambapo bidhaa iliyokuwa ikiuzwa shilingi 15,000 sasa...

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yaleta gulio jingine la mauzo ya bidhaa za Mawasiliano

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutangaza gulio la bidhaa za mawasiliano ikiwemo simu na ipad za kisasa lililoandaliwa na kampuni yake Juni 28 na 29 katika viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es salaam. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Hii ni mara ya pili kwa Vodacom kuandaa gulio la aina hiyo ikiwahusisha watengeneza bidhaa za simu za mkononi.
Kampuni ya Mawasiliano ya...

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA USAJILI WA WASHIRIKI WA MBIO ZA ROCK CITY MARATHON 2015 WAFANYIKA JIJINI MWANZA.

Na:George Binagi-GB Pazzo
Hiyo ilikuwa katika Uzinduzi wa Usaili wa Washiriki wa mbio hizo za Rock City Marathon 2015 ambazo zilianza kufanyika Jijini Mwanza tangu mwaka 2009.
Mbio hizo (mashindano) huandaliwa na Kampuni ya Capital Plus International na kudhaminiwa na Makampuni mbalimbali ikiwemo Mdhamini Mkuu Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii NSSF, Precision Air, Bodi ya Utalii Tanzania, New Mwanza Hotel na Bank M huku lengo lake likiwa ni kukuza mchezo huo pamoja na kuhimiza utalii wa...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

TheCitizen

Rocky City marathon receives major boost

Organisers of the Rock City Marathon have introduced short distance races to spice the gruelling 21 kilometre event planned for October 26 in Mwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani