Vodacom yaleta gulio jingine la mauzo ya bidhaa za Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-Srq2Q33qKIo/U6ftDaAj5xI/AAAAAAAFsZo/c3tk3kzg9FA/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutangaza gulio la bidhaa za mawasiliano ikiwemo simu na ipad za kisasa lililoandaliwa na kampuni yake Juni 28 na 29 katika viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es salaam. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Hii ni mara ya pili kwa Vodacom kuandaa gulio la aina hiyo ikiwahusisha watengeneza bidhaa za simu za mkononi.
Kampuni ya Mawasiliano ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Mar
Wajasiriamali 21 washiriki gulio la mauzo
WAJASILIAMALI 21 wamejitokeza kushiriki kwenye gulio la mauzo la bidhaa mbalimbali la siku mbili lililofanyika katika fukwe ya Coco kwa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo. Gulio hilo la siku mbili lilianza juzi na kumalizika jana ambapo lilishirikisha wajasiliamali mbalimbali wenye maduka Kariakoo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tDzczHZP2nM/VbztgmbEeAI/AAAAAAAHtGI/LLTppXsMx7o/s72-c/001.GULIO.jpg)
GULIO LA VODACOM KUFIKIA TAMATI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-tDzczHZP2nM/VbztgmbEeAI/AAAAAAAHtGI/LLTppXsMx7o/s640/001.GULIO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8-Rh7WeQXk/VbztghhL8iI/AAAAAAAHtGQ/JnIEgz0ueSE/s640/002.GULIO.jpg)
10 years ago
MichuziWakazi wakaskazini wanufaika na Gulio la Vodacom Tanzania
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Tigo yadhamini uzinduzi wa Rocky City Mall: Kufanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali Mwanza
Meneja huduma kwa Wateja wa Tigo kanda ya Ziwa, Beatrice Kinabo, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Mwanza jana, ambapo jengo la kimataifa la biashara(Rock City Mall) limekamilika na Tigo watafanya gulio la kuuza bidhaa mbalimbali,kushoto ni Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa Mwanza City Commercial Complex Company Limited Joseph Mlinzi na kulia ni Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry.
Meneja wa Tigo pesa kanda ya Ziwa Issa Orry, akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
GPLWAKAZI WA KASKAZINI WANUFAIKA NA GULIO LA VODACOM TANZANIA
10 years ago
MichuziWAKAZI WA JIJI LA ARUSHA WAFURAHIA GULIO LA VODACOM EXPO
Amri Abeid jijini Arusha.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
HUAWEI Tanzana yaleta mapinduzi ya mawasiliano nchini
Mkurugenzi wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akitoa mada katika mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano kuhusiana na kampuni yake kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini wanaendelea kunufaika na huduma ya kampuni hiyo kwa bei nafuu za simu.Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na...
10 years ago
Bongo503 Sep
Benki ya BOA kuwawezesha wasambazaji wa bidhaa za Vodacom
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qAqCPlHf3MA/UvJPvQnUvYI/AAAAAAAFLBI/6UKvibNV4w4/s72-c/Vodacom-Logo.jpg)
Taarifa ya kukatika kwa Mawasiliano ya Vodacom
![](http://1.bp.blogspot.com/-qAqCPlHf3MA/UvJPvQnUvYI/AAAAAAAFLBI/6UKvibNV4w4/s1600/Vodacom-Logo.jpg)
Kukatika kwa Mkonga huo kumesababisha vituo vyetu vya kutoa huduma za mawasiliano vilivyopo Oysterbay na mbezi juu kushindwa kufanya kazi kutokana na vituo hivyo kutegemeana...