HUAWEI Tanzana yaleta mapinduzi ya mawasiliano nchini
Mkurugenzi wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akitoa mada katika mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano kuhusiana na kampuni yake kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini wanaendelea kunufaika na huduma ya kampuni hiyo kwa bei nafuu za simu.Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f_GbUC0xJQI/VMePOIgw93I/AAAAAAAG_wM/eYIM4Aygs5Q/s72-c/IMG_6295.jpg)
TTCL na Huawei waingia mkataba wa kuboresha mawasiliano nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-f_GbUC0xJQI/VMePOIgw93I/AAAAAAAG_wM/eYIM4Aygs5Q/s1600/IMG_6295.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F81lquJVHtE/VMePOT6D9yI/AAAAAAAG_wY/aW9QguhZNaQ/s1600/IMG_6301.jpg)
10 years ago
GPLHUAWEI NA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI
10 years ago
MichuziHUAWEI TANZANIA NA WIZARA YA MAWASILIANO,SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog13 Oct
Huawei yaleta furaha onyesho Bongo Star Search
Mamia ya wapenzi wa Muziki waliofika kwenye ukumbi wa King Solomon kushuhudia fainali ya shindano la Bongo Star Search walipata fursa ya kuona simu mbalimbali za kampuni ya Huawei zilizopo kwenye soko la hapa nchini pia wenye bahati waliweza kujishindia simu ya kisasa aina ya P8 kutokana na droo iliyochezwa ukumbini hapo kabla ya shindano kuanza . Huawei ilikuwa moja ya makampuni yaliyodhamini shindano hilo.
-Wapenzi wa muziki wajishindia zawadi za simu
Mfanyakazi katika banda la Huawei...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W4SKOVl94p0/XpqFb_rmkFI/AAAAAAALnUE/rH4zjMoD2YIt3QCiyG3AN1ObNbySDNLaQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-3AA-768x512.jpg)
MASOKO YA MADINI SINGIDA YALETA MAPINDUZI M
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4SKOVl94p0/XpqFb_rmkFI/AAAAAAALnUE/rH4zjMoD2YIt3QCiyG3AN1ObNbySDNLaQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-3AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-NA-4AAA-1024x682.jpg)
Mkaguzi wa Migodi katika machimbo ya dhahabu yanayomilikiwa na Chama chaUshirika wa Wachimbaji Wadogo wa Madini Kisonga-Shelui (UWAWAKISHE), wilayaniIramba mkoani Singida, Mohammed Salum akielezea manufaa ya masoko ya madiniyaliyoanzishwa mkoani Singida kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-NA-5AAA-1024x682.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Gesi yaleta mapinduzi makubwa ya umeme
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa, ifikapo mwezi ujao umeme unaotokana na gesi unaozalishwa nchini utafikia megawati 700 sawa na asilimia 70 ya umeme wote kwenye Gridi ya Taifa. Hayo yatakuwa ni mapinduzi makubwa kwani miaka mingi vyanzo vya maji ndivyo vilikuwa vikichangia kwa asilimia 70.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Srq2Q33qKIo/U6ftDaAj5xI/AAAAAAAFsZo/c3tk3kzg9FA/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Vodacom yaleta gulio jingine la mauzo ya bidhaa za Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-Srq2Q33qKIo/U6ftDaAj5xI/AAAAAAAFsZo/c3tk3kzg9FA/s1600/unnamed+(10).jpg)
Kampuni ya Mawasiliano ya...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu (kushoto) pamoja na Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar. Bw. Mahamoud Thabit Kombo.
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Huawei Tanzania...
9 years ago
StarTV22 Oct
Bilal azindua kituo kitakacholeta mapinduzi ya mawasiliano.
Makamu wa Rais, Dokta Mohamed Gharib Bilal amezindua kituo cha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ambacho kimeleta Mapinduzi kwenye sekta ya habari na mawasiliano (Tehama) na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Mawasiliano ya Intaneti kwenye nchi za Afrika Mashariki na Ukanda wa Maziwa makuu.
Kituo hicho kimejengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na ile ya Jamhuri ya Watu wa China kama mkakati wa kukuza maendeleo katika kufikia malengo ya uchumi wa kati kwenye Dira ya Taifa ya mwaka 2025...