Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUAWEI Tanzana yaleta mapinduzi ya mawasiliano nchini

002.HUAWEI

Mkurugenzi  wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akitoa mada katika  mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya  Mawasiliano kuhusiana na kampuni yake  kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini wanaendelea kunufaika na huduma  ya kampuni hiyo kwa bei nafuu za simu.Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

004.HUAWEI

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya  Mawasiliano wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TTCL na Huawei waingia mkataba wa kuboresha mawasiliano nchini

Afisa Mtendaji Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL),Kamugisha Kazaura (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa MS Huawei Technologies,Bruce Zhang wakisaini mikataba ya makubaliano ya kupanua na kuboresha mtandao wa TTCL wa simu za mezani, mkononi pamoja na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ambao unagharimu zaidi ya kiasi cha dola za kimarekani milioni 182.Afisa Mtendaji Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL),Kamugisha Kazaura (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa MS Huawei Technologies,Bruce Zhang...

 

10 years ago

GPL

HUAWEI NA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI

Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Dk Ally Simba akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na kampuni ya Huawei katika kongamano la Teknohama, kulia ni Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Samson Majwala. Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Huawei Tanzania, Samson Majwala akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na...

 

10 years ago

Michuzi

HUAWEI TANZANIA NA WIZARA YA MAWASILIANO,SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUUNGANA KATIKA KONGAMANO LA TEKNOHAMA NCHINI

Mkurugenzi wa ICT katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Dk Ally Simba Akiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na kampuni ya Huawei katika kongamano la Teknohama, kulia ni Mkurugenzi wa masoko na mauzo wa Huawei Tanzania Samson Majwala.Mkurugenzi wa masoko na mauzo wa Huawei Tanzania Samson Majwala kiongea na waandishi wa habari jijini Dar-es-Salaam jana kuhusu kuungana na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia katika kongamano la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Huawei yaleta furaha onyesho Bongo Star Search

Mamia ya wapenzi wa Muziki waliofika kwenye ukumbi wa King Solomon kushuhudia  fainali ya shindano la Bongo Star Search walipata fursa ya  kuona simu mbalimbali za kampuni ya Huawei zilizopo kwenye  soko la hapa nchini pia wenye bahati waliweza kujishindia simu ya kisasa aina ya P8 kutokana na droo iliyochezwa ukumbini hapo kabla ya shindano kuanza . Huawei ilikuwa moja ya makampuni yaliyodhamini shindano hilo.

-Wapenzi wa muziki wajishindia zawadi za simu

pict 1

Mfanyakazi katika banda la Huawei...

 

5 years ago

Michuzi

MASOKO YA MADINI SINGIDA YALETA MAPINDUZI M



Wachimbaji wadogo wa madini wakiendelea na shughuli za uchenjuaji wa madini katika machimbo ya dhahabu ya Sekenke Wilayani Iramba Mkoani Singida tarehe 17 Aprili, 2020.
Mkaguzi wa Migodi katika machimbo ya dhahabu yanayomilikiwa na Chama chaUshirika wa Wachimbaji Wadogo wa Madini Kisonga-Shelui (UWAWAKISHE), wilayaniIramba mkoani Singida, Mohammed Salum akielezea manufaa ya masoko ya madiniyaliyoanzishwa mkoani Singida kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mwenyekiti wa Chama cha...

 

9 years ago

Habarileo

Gesi yaleta mapinduzi makubwa ya umeme

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa, ifikapo mwezi ujao umeme unaotokana na gesi unaozalishwa nchini utafikia megawati 700 sawa na asilimia 70 ya umeme wote kwenye Gridi ya Taifa. Hayo yatakuwa ni mapinduzi makubwa kwani miaka mingi vyanzo vya maji ndivyo vilikuwa vikichangia kwa asilimia 70.

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yaleta gulio jingine la mauzo ya bidhaa za Mawasiliano

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutangaza gulio la bidhaa za mawasiliano ikiwemo simu na ipad za kisasa lililoandaliwa na kampuni yake Juni 28 na 29 katika viwanja vya Leaders Kinondoni jijini Dar es salaam. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Umma wa kampuni hiyo Matina Nkurlu. Hii ni mara ya pili kwa Vodacom kuandaa gulio la aina hiyo ikiwahusisha watengeneza bidhaa za simu za mkononi.
Kampuni ya Mawasiliano ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia watiliana saini ya kusimamia sekta ya TEHAMA

 

DSC_5719

Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu  (kushoto) pamoja na  Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania, Bw. Zhan Yongquan  wakitiliana saini mkataba wa ushirikiano katika sekta ya TEHAMA nchini. Wanaoshuhudia ni katikati ni Balozi wa china nchini Tanzania, Balozi LvYouguin, akifuatiwa na  Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia, Prf. Makame Mbarawa (kulia) na kushoto kwao ni waziri wa afya wa Zanzibar.  Bw. Mahamoud Thabit Kombo.

Na  Mwandishi Wetu

Kampuni ya Huawei Tanzania...

 

9 years ago

StarTV

Bilal azindua kituo kitakacholeta mapinduzi ya mawasiliano.

Makamu wa Rais, Dokta Mohamed Gharib Bilal amezindua kituo cha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ambacho kimeleta Mapinduzi kwenye sekta ya habari na mawasiliano (Tehama) na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Mawasiliano ya Intaneti kwenye nchi za Afrika Mashariki na Ukanda wa Maziwa makuu.

Kituo hicho kimejengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na ile ya Jamhuri ya Watu wa China kama mkakati wa kukuza maendeleo katika kufikia malengo ya uchumi wa kati kwenye Dira ya Taifa ya mwaka 2025...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani