MASOKO YA MADINI SINGIDA YALETA MAPINDUZI M
![](https://1.bp.blogspot.com/-W4SKOVl94p0/XpqFb_rmkFI/AAAAAAALnUE/rH4zjMoD2YIt3QCiyG3AN1ObNbySDNLaQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-3AA-768x512.jpg)
Wachimbaji wadogo wa madini wakiendelea na shughuli za uchenjuaji wa madini katika machimbo ya dhahabu ya Sekenke Wilayani Iramba Mkoani Singida tarehe 17 Aprili, 2020.
Mkaguzi wa Migodi katika machimbo ya dhahabu yanayomilikiwa na Chama chaUshirika wa Wachimbaji Wadogo wa Madini Kisonga-Shelui (UWAWAKISHE), wilayaniIramba mkoani Singida, Mohammed Salum akielezea manufaa ya masoko ya madiniyaliyoanzishwa mkoani Singida kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mwenyekiti wa Chama cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Dec
Gesi yaleta mapinduzi makubwa ya umeme
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa, ifikapo mwezi ujao umeme unaotokana na gesi unaozalishwa nchini utafikia megawati 700 sawa na asilimia 70 ya umeme wote kwenye Gridi ya Taifa. Hayo yatakuwa ni mapinduzi makubwa kwani miaka mingi vyanzo vya maji ndivyo vilikuwa vikichangia kwa asilimia 70.
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
HUAWEI Tanzana yaleta mapinduzi ya mawasiliano nchini
Mkurugenzi wa Kampuni ya HUAWEI Tanzania,Vicent Wen akitoa mada katika mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano kuhusiana na kampuni yake kwa kuleta maboresho ya mawasiliano ya simu hapa nchini ambapo wananchi wa vijijini na mjini wanaendelea kunufaika na huduma ya kampuni hiyo kwa bei nafuu za simu.Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Kimataifa wa Teknolojia ya Mawasiliano wakifatilia mada iliyokuwa ikitolewa na...
5 years ago
MichuziBilioni 66.5 zapatikana tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini
Profesa Manya ameyasema hayo leo tarehe 11 Machi, 2020 kupitia mahojiano maalum jijini Dodoma na kueleza kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwezi Machi, 2019 hadi kufikia mwezi Januari, 2020...
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Chama cha Mapinduzi chazoa viti vyote serikali za mitaa manispaa ya Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijijini manispaa ya Singida. (picha na maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) manispaa ya Singida,imeibuka kidedea baada ya kuzoa nafasi zote 50 za uenyeviti wa mitaa, sawa na aslimia mia moja kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika juzi.
Hayo yamesemwa na msimamiziwa uchaguzi huo manispaa ya Singida, Joseph Mchina,wakati...
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yasusa chai ya Mkuu wa Mkoa wa SIngida
Mshauri wa kampuni ya kufua umeme wa upepo Geo Wind, Machwa Kagoswe, akitoa ufafanuzi juu ya kazi ya ufuaji umeme wa upepo katika eneo la kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida mbele ya kamati ya Bunge ya Nishati na madini iliyotembelea mkoa wa Singida hivi karibuni.Mwenye miwani ni mwenyekiti wa kamati hiyo Richard Ndassa.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAMPUNI ya ubia ya Geo Wind Power Tanzania ltd,inatarajia kutumia zaidi ya dola ya Marekani 136 milioni kwa ajili ya kugharamia uzalishaji wa...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Wasomi: Mapinduzi Z’bar yawe mapinduzi ya fikra
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d7v1cce0SPg/VHVi5vJB2sI/AAAAAAAGzdY/76ipg3Cvvs0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hPjaf_89fwI/VBrPCfElBeI/AAAAAAAGkQk/2vucvxi2qlk/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Wizara ya Nishati na Madini yazindua rasmi mfumo wa kielektroniki wakulipia leseni za madini
Na Jacquiline Mrisho- MAELEZO
Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini imezindua mfumo wa malipo ya ada za leseni za madini kwa njia ya mtandao ujulikanao kama Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP).
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kamishna Msaidizi wa Madini anayeshughulikia leseni Bw. John Nayopa amesema kuwa mfumo huu wa kielektroniki unawawezesha wateja waliosajiliwa kutuma maombi ya leseni, kuhakiki taarifa za leseni wanazomiliki pamoja na...