Bilioni 66.5 zapatikana tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini
Na Greyson Mwase, DodomaKATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya amesema kuwa, tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini mapema Machi mwaka jana jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 66.5 zimepatikana na kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi.
Profesa Manya ameyasema hayo leo tarehe 11 Machi, 2020 kupitia mahojiano maalum jijini Dodoma na kueleza kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwezi Machi, 2019 hadi kufikia mwezi Januari, 2020...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
9 years ago
VijimamboWATUMISHI WANAWAKE WA KRISTO WA KANISA LA TAG NCHINI WAADHIMISHA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA KWA CHAMA CHAO
10 years ago
MichuziTHT KUADHIMISHA MIAKA 10 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6AX5LP_0FIc/VLe4NtIA2kI/AAAAAAABNlA/xvwcWsqX5fE/s1600/3.3.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
MichuziHOME GYM MWENGE YASHEREHEKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA
Washiriki wakiwa katika Jogging.
9 years ago
StarTV07 Jan
TRA yafanikiwa kuvuka lengo tangu kuanzishwa kwake
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa mara ya kwanza imefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya kodi tangu kuanzishwa mamlaka hiyo mwaka 1996.
TRA imevuka lengo kwa kukusanya Shilingi trilioni moja, milioni 400, laki mbili na elfu 20 kwa Desemba 2015, ikiwa ni zaidi ya ongezeko la wastani wa Shilingi bilioni 490 kwa mwezi.
Ongezeko hilo la makusanyo ya kodi ni zaidi ya Shilingi milioni 900 zilizokusanywa kwa kipindi cha miezi mitano, kati ya Julai na Novemba mwaka jana.
Kaimu Kamishna Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s72-c/1.jpg)
CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVdcjoxl-qQ/VH28kPporXI/AAAAAAACvss/NBZMBpxhUmI/s1600/1.jpg)
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-DjjcZlnX_50/VH28sZpMMmI/AAAAAAACvuk/ZkLywZZngO0/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NqulteiIpoU/VGYlQTApnEI/AAAAAAAGxPg/-ekrz66VjsA/s72-c/2.jpg)
KAMPUNI YA MAFUTA YA ENGEN YAANDIMISHA MIAKA 21 TANGU KUANZISHWA KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqulteiIpoU/VGYlQTApnEI/AAAAAAAGxPg/-ekrz66VjsA/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wHBUqOz_Y2k/VGYlVOOHYLI/AAAAAAAGxQk/AbdZCsHmERg/s1600/8.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya Mafuta ya ENGEN Tanzania leo Novemba 14,2014 wameungana na wafanyakazi wenzao Barani Afrika kusherehekea Maadhimisho ya Miaka 21 ya kuanzishwa kwa Kampuni hiyo,ambayo husherehekewa kila Mwaka ifikapo tarehe kama ya leo.Engeni ni Kampuni iliyojikita katika uuzaji wa Mafuta bora ndani na nje ya Tanzania,huku ikiendelea kujivunia kwa Ubora wake.Pichani ni Sehemu ya Wafanyakazi wa Kampuni hiyo ya Engen hapa nchini wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya jengo lao Kurasini...
9 years ago
MichuziLHRC YAADHIMISHA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA KWAKE SEPTEMBA 26, 1995
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Tambi zapatikana na madini hatari India