Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tambi zapatikana na madini hatari India

Maafisa wa India wamepiga marufuku chakula aina ya tambi ziitwazo ''Maggi noodles'' baada yakupatikana na madini hatari aina ya 'lead'.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya tambi za Nestle yaondolewa India

Marufuku ya tambi za kampuni ya kutengeneza chakula ya Nestle imeondolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nestle yaagizwa kuondoa tambi zake India

Shirika la India linalohusika na ubora wa vyakula limepiga marufuku utengenezaji wa chakula aina ya tambi ziitwazo ''Maggi Noodles''

 

5 years ago

Michuzi

Bilioni 66.5 zapatikana tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini

Na Greyson Mwase, DodomaKATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya amesema kuwa, tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini mapema Machi mwaka jana jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 66.5 zimepatikana na kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi.
Profesa Manya ameyasema hayo leo tarehe 11 Machi, 2020 kupitia mahojiano maalum jijini Dodoma na kueleza kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwezi Machi, 2019 hadi kufikia mwezi Januari, 2020...

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia ya uzazi wa mpango hatari India

Njia ya upasuaji inayotumiwa na Wanawake kama njia ya uzazi wa mpango nchini humo yawa hatari

 

9 years ago

StarTV

Serikali ya India kuanza kuwafundisha Watanzania Uchimbaji Bora Wa Madini

Serikali imeingia makubaliano na kituo cha  sayansi  na mazingira cha India CSE kutumia wataalamu wa kituo hicho kuja nchini kusaidia uchimbaji wa  madini ya makaa ya mawe ili ufanyike kwa ufanisi kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira na usalama.

Hatua hii ya Serikali inakuja kutokana na kuanza kwa uchimbaji mkubwa wa makaa ya mawe nchini ukiwemo unaoendelea Ngaka mkoani Ruvuma.

Imebainishwa kuwa ni muhimu kuwepo kwa mikakati mizuri ya kuhifadhi mazingira wakati wa uchimbaji na wakati wa...

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maiti zaidi za mafuriko zapatikana

MAITI nyingine za watu wawili waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Jijii la Dar es Salaam zimepatikana. Maiti hizo zinafanya jumla ya watu waliripotiwa na Jeshi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maiti 30 zapatikana ufuoni Italia

Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi ambayo lilikuwa limewabeba mamia ya wahamiaji

 

11 years ago

Mwananchi

Maiti sita zapatikana ziwani

Maiti sita kati ya nane za watu waliofia Ziwa Tanganyika baada ya boti mbili kugongana Julai 7 wilayani Nkasi mkoani Rukwa zimepatikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani