Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti zaidi za mafuriko zapatikana

MAITI nyingine za watu wawili waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Jijii la Dar es Salaam zimepatikana. Maiti hizo zinafanya jumla ya watu waliripotiwa na Jeshi la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NEWS UPDATES: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA HARUSI

Na Editha Karlo,Globu ya jamii - Kigoma
Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado hazijapatikana....

 

11 years ago

Michuzi

latest updates: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA MAHARUSI JANA

Na Editha Karlo wa Globu ya jamii Kigoma Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.  Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maiti 30 zapatikana ufuoni Italia

Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi ambayo lilikuwa limewabeba mamia ya wahamiaji

 

11 years ago

Mwananchi

Maiti sita zapatikana ziwani

Maiti sita kati ya nane za watu waliofia Ziwa Tanganyika baada ya boti mbili kugongana Julai 7 wilayani Nkasi mkoani Rukwa zimepatikana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maiti 70 zapatikana zimetupwa Nigeria

Takriban maiti 70 zimepatikana zimetupwa nje ya mji wa Damasak ,Nigeria baada ya mji huo kutwaliwa na wanajeshi wa serikali

 

11 years ago

Michuzi

Zaidi ya sh. Milioni 100 zapatikana katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund jijini dar

 Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg. Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza kuendesha harambee hiyo,iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.Zaidi ya sh. Milioni 100 zilipatikana katika harambee hiyo. Mwenyekiti Mwanzilishi wa Bonnah Education Trust Fund,Bonnah Kaluwa akitoa hotuba yake kwa wageni wa mbali mbali (hawapo pichani)...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI NI ZAIDI YA MAFURIKO

Waandishi Wetu HAIJAWAHI kutokea! Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana kimezindua kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Viwanja vya Jangwani jijini Dar huku umati wa watu waliojitokeza ukivunja rekodi kwa kukusanya wanachama na wananchi wengi kuliko katika kipindi cha rais Jakaya na Mkapa.  .......Soma zaidi====>http://bit.ly/1U8Xil0 ...

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi ni zaidi ya mafuriko na vijembe

Joto la Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 linazidi kupanda. Zimebaki siku zisizozidi 31 ili kufikia siku hiyo kwa Watanzania kujua mustakabali wa kiuongozi wa nchi yao kwa miaka mitano ijayo.

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani