Maiti 30 zapatikana ufuoni Italia
Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi ambayo lilikuwa limewabeba mamia ya wahamiaji
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Maiti zaidi za mafuriko zapatikana
MAITI nyingine za watu wawili waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Jijii la Dar es Salaam zimepatikana. Maiti hizo zinafanya jumla ya watu waliripotiwa na Jeshi la...
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Maiti 70 zapatikana zimetupwa Nigeria
Takriban maiti 70 zimepatikana zimetupwa nje ya mji wa Damasak ,Nigeria baada ya mji huo kutwaliwa na wanajeshi wa serikali
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Maiti sita zapatikana ziwani
Maiti sita kati ya nane za watu waliofia Ziwa Tanganyika baada ya boti mbili kugongana Julai 7 wilayani Nkasi mkoani Rukwa zimepatikana.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i3saPbH7_pQ/VDtmOkKtnAI/AAAAAAAGpqk/YjVbS21HK4c/s72-c/wanajeshi1.jpg)
NEWS UPDATES: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA HARUSI
Na Editha Karlo,Globu ya jamii - Kigoma
Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado hazijapatikana....
Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado hazijapatikana....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rM2ET0RD6FE/VDtuJJ7hh_I/AAAAAAAGprE/Jm0dhjWRjHQ/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
latest updates: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA MAHARUSI JANA
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii Kigoma Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado...
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Brazil: Kwa nini makuburi haya yamechimbwa ufuoni?
Wanaharakati wa Brazil wanaoikosoa serikali yao namna inavyoshughulikia janga la corona kwa kuchimba makaburi mia moja mjini Rio die Janeiro
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Tambi zapatikana na madini hatari India
Maafisa wa India wamepiga marufuku chakula aina ya tambi ziitwazo ''Maggi noodles'' baada yakupatikana na madini hatari aina ya 'lead'.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s72-c/blogger-image--1359849879.jpg)
Dola za Marekani milioni 53.8 zapatikana kutokana na mauzo ya vito
![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s1600/blogger-image--1359849879.jpg)
Jumla ya Dola za Marekani milioni 53.8 zilipatikana kutokana na mauzo ya vito mbalimbali ndani ya nchi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uchambuzi na Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, (TANSORT) kilichopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini Archard Kalugendo kwenye semina iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda, Afisa Madini Wakazi na Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini inayoendelea Bagamoyo...
5 years ago
MichuziBilioni 66.5 zapatikana tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini
Na Greyson Mwase, DodomaKATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya amesema kuwa, tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini mapema Machi mwaka jana jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 66.5 zimepatikana na kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye ukuaji wa uchumi wa nchi.
Profesa Manya ameyasema hayo leo tarehe 11 Machi, 2020 kupitia mahojiano maalum jijini Dodoma na kueleza kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwezi Machi, 2019 hadi kufikia mwezi Januari, 2020...
Profesa Manya ameyasema hayo leo tarehe 11 Machi, 2020 kupitia mahojiano maalum jijini Dodoma na kueleza kuwa tangu kuanzishwa kwa masoko ya madini mwezi Machi, 2019 hadi kufikia mwezi Januari, 2020...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania