Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil: Kwa nini makuburi haya yamechimbwa ufuoni?

Wanaharakati wa Brazil wanaoikosoa serikali yao namna inavyoshughulikia janga la corona kwa kuchimba makaburi mia moja mjini Rio die Janeiro

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KADJA: KWA MAISHA HAYA MUME WA NINI?

Musa Mateja
STAA kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Khadija Maige ‘Kadja Nito’,  hatimaye ameamua kufunguka na kusema kuwa, kwa maisha yake ya sasa ya kimuziki haoni kama kuna umuhimu wa kufikiria masuala ya kuolewa. Staa kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Khadija Maige ‘Kadja Nito’. Akizungumza na paparazi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita Kadja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji haya ya Kiteto, DC Umbula anangoja nini?

RAIS Jakaya Kikwete sina hakika kama unajua kwamba wananchi takribani 30 wameshapoteza maisha wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara. Wafugaji na wakulima wanauana kwa sababu ya chuki za kibaguzi zinazodaiwa kupandikizwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Matokeo haya kidato cha nne yanatufunza nini?

Jumamosi iliyopita, Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2014.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani?

. Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha “kiulinzi” kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu. Serikali imeweka majesho yote kwenye Red alert, polisi wamekabidhiwa magari […]

The post Haya yote ya nini JK wakati nchi haiko vitani? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maiti 30 zapatikana ufuoni Italia

Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi ambayo lilikuwa limewabeba mamia ya wahamiaji

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, amesema asilimia 10 ya madini yaliyopo nchini ndiyo yaliyochimbwa tangu shughuli za uchimbaji zianze.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Michuzi

TBL YAKAGUA UJENZI WA KISIMA CHA MAJI CHA ZAHANATI YA MAKUBURI KILICHOJENGWA KWA MSAADA WAO

 Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kushoto), na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwongozo, James Ngoitanile (wa tatu kushoto) wakiangalia kisima kipya cha maji kikisafishwa katika Zahanati ya Makuburi Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Kiwanda hicho Kimejengwa kwa msaada wa TBL kwa gharama ya sh. mil. 25. Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kushoto), na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mwongozo, James Ngoitanile (kulia) wakipata...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Mechi Brazil, Argentina yasubiriwa kwa hamu

>Mechi inayosubiriwa kwa hamu zaidi na mashabiki wa soka hapa ni Brazil na Argentina kama zitafanikiwa kutinga fainali za Kombe la Dunia katika pambano litakachezwa Julai 13  kwenye Uwanja wa Maracana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani