Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti sita zapatikana ziwani

Maiti sita kati ya nane za watu waliofia Ziwa Tanganyika baada ya boti mbili kugongana Julai 7 wilayani Nkasi mkoani Rukwa zimepatikana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maiti zaidi za mafuriko zapatikana

MAITI nyingine za watu wawili waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Jijii la Dar es Salaam zimepatikana. Maiti hizo zinafanya jumla ya watu waliripotiwa na Jeshi la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maiti 30 zapatikana ufuoni Italia

Jeshi la wanamaji nchini Italia , limepata maiti 30 katika mashua ya uvuvi ambayo lilikuwa limewabeba mamia ya wahamiaji

 

10 years ago

BBCSwahili

Maiti 70 zapatikana zimetupwa Nigeria

Takriban maiti 70 zimepatikana zimetupwa nje ya mji wa Damasak ,Nigeria baada ya mji huo kutwaliwa na wanajeshi wa serikali

 

11 years ago

Michuzi

NEWS UPDATES: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA HARUSI

Na Editha Karlo,Globu ya jamii - Kigoma
Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado hazijapatikana....

 

11 years ago

Michuzi

latest updates: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA MAHARUSI JANA

Na Editha Karlo wa Globu ya jamii Kigoma Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.  Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado...

 

11 years ago

Habarileo

Idadi ya waliofia ziwani yaongezeka

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa MachibyaIDADI ya watu waliokufa katika ajali ya boti iliyotokea juzi katika Ziwa Tanganyika na wengine zaidi ya 70 kunusurika wakiwemo bwana na bibi harusi waliookolewa wakitoka kufunga ndoa, imeongezeka na kufikia kumi.

 

10 years ago

Habarileo

Mwalimu afa baada ya kujitosa ziwani

Kaimu Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Sweetbert Njewike MWALIMU wa Shule ya Msingi Kibumaye iliyopo tarafa ya Inchage wilayani Tarime mkoani Mara, Nelson Zachma (50) amekufa kwa kujitosa Ziwa Victoria.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mkutano wa kampeni CUF Ziwani/Ole 16/09/15

The post Mkutano wa kampeni CUF Ziwani/Ole 16/09/15 appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Makonda, ukichafuka ziwani hutojisafi dimbwini!

PENGINE kwa kutaka kueleweka zaidi nimeona nitumie msemo huu, ambao naamini wengi watanielewa ninachomaanisha na kuwatambua wote wenye tabia inayoendana na msemo huu. Hivi karibuni Paul Makonda kada wa Chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani