Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwalimu afa baada ya kujitosa ziwani

Kaimu Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Sweetbert Njewike MWALIMU wa Shule ya Msingi Kibumaye iliyopo tarafa ya Inchage wilayani Tarime mkoani Mara, Nelson Zachma (50) amekufa kwa kujitosa Ziwa Victoria.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWALIMU AFA KIMIUJIZA

Stori: WAANDISHI WETU
Mwalimu Gloria Tarimo ‘Ticha Gloria’ (29) aliyekuwa akifundisha katika Shule ya Mbezi High School ya jijini Dar, amefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha huku baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakidai kifo chake ni cha kimiujiza.
Ticha Gloria ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo, alifariki dunia Desemba 6, mwaka huu katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar...

 

9 years ago

Habarileo

Mwalimu afa kwa kuchomwa kisu, kisa wivu wa mapenzi

WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti mkoani Kilimanjaro, likiwamo la mwalimu wa shule ya sekondari Minja wilayani Mwanga, Tumaini Magila (27) kumuua mumewe Sweetbert Magila (48) kwa kumchoma kisu, kutokana na wivu wa kimapenzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Trafiki afa baada ya kukamata daladala

Ofisa wa polisi mwenye cheo cha Koplo, Wilson Mwakipesile wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya daladala alilokuwa amelikamata.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fundi radio afa baada ya kuzidiwa gesti

FUNDI radio maarufu mjini hapa, Daniel Mosha (53), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mkoa baada ya kuugua ghafla akiwa anafanya mapenzi na mwalimu mmoja katika nyumba ya...

 

10 years ago

CloudsFM

SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI

Sheikh mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini, Bakari Mketo amefariki dunia ghafla makaburini mara baada ya kuswalisha swala ya mazishi katika makaburi ya Nonde jijini na mkoani Mbeya jioni ya jana.
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-4

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Naendelea kukuletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipokuwa akiugua nchini Uingereza hadi alifariki dunia. Awali, madaktari walitaka kibali cha familia ili mashine hizo zizimwe au ziachwe.
“Madaktari walitupatia muda wa kuamua kuhusu nini kifanyike. Ulikuwa uamuzi mgumu sana kwa familia. Hapakuwapo na mgawanyiko isipokuwa ulikuwapo mjadala ambalo ni jambo la kawaida katika...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-5

Naendelea kuwaletea mfululizo wa matukio ya kuumwa kwa Mwalimu Nyerere hadi kifo chake.
Mwalimu alikuwa na desturi ya kufanya mazoezi na alikuwa mtu aliyefuata masharti na ushauri aliokuwa akipewa na madaktari. Daktari wa kwanza aliyekuwa anamhudumia Mwalimu baada ya Uhuru alikuwa ni Profesa Mhonoli. Kuanzia mwaka 1979 alihudumiwa na Profesa Makene akisaidiwa na Profesa Mtulia na Profesa Mwakyusa. Mwalimu alipostaafu mwaka 1985...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO- 2

Naendelea kuwaletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipotoka kijijini kwake Mwitongo, Butiama kwenda kutibiwa nchini Uingereza hadi kifo chake. Agosti 26 na 27, 1999, vyombo vya habari Tanzania, kwa mara ya kwanza viliripoti wazi kwa umma kuwa hali ya Mwalimu Nyerere haikuwa nzuri, lakini wasaidizi wake walipata kigugumizi kusema ukweli, kwa kusingizia kuwa wao hawakuwa madaktari. MWANZO HADI MWISHO
Septemba, Mosi...

 

11 years ago

Mwananchi

Maiti sita zapatikana ziwani

Maiti sita kati ya nane za watu waliofia Ziwa Tanganyika baada ya boti mbili kugongana Julai 7 wilayani Nkasi mkoani Rukwa zimepatikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani