Mwalimu afa kwa kuchomwa kisu, kisa wivu wa mapenzi
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti mkoani Kilimanjaro, likiwamo la mwalimu wa shule ya sekondari Minja wilayani Mwanga, Tumaini Magila (27) kumuua mumewe Sweetbert Magila (48) kwa kumchoma kisu, kutokana na wivu wa kimapenzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Ajinyonga kisa? Wivu wa mapenzi
NA CHIBURA MAKORONGO,KAHAMA
MFANYAKAZI wa kampuni ya uchambuaji pamba ya Kahama Oil Mills Ltd, Yusuph Abdallah (55) amekutwa amekufa bafuni baada ya kujinyonga kutokana na wivu wa mapenzi.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mhongolo, Elias Chuma, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi, baada ya mfanyakazi wa usafi wa nyumba ya kampuni aliyokuwa anakaa Abdallah, Pili Makoye, kumkuta Abdallah akiwa amejinyonga.
Kiongozi huyo alisema baada ya kuona hivyo, Pili alipiga owe ambapo watu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDr0YFJ3By0yJXc-odPmcItVp3J0RkmKTn5pUpI98gWlUWaE6sDjOBExCZpcvKCaJ6UmORultrqvH5J7Xu8uo14M/wivu.jpg)
AMCHOMA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Aunguzwa na uji kisa wivu wa mapenzi
MSICHANA Jackline Lasway maarufu kwa jina la Pendo, mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORyVvAgV*ZD-*84TXlJvhOIPxAMOnfZaRkdkNl5mj1JC-HAg-R41ifqa1LxDJfrPze0x2ZdrOVoxyHCmNsimBiS/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO AZUA KASHESHE, KISA WIVU WA MAPENZI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0D2VVh-yFfs86GxAQgA42mBCYhw4e8dteMTO-AmHYqp6NX30b0JoXx5j9T5Em1ZZZdpaan-PkfZdpm--Q*9ufr/WIVU2.jpg?width=650)
MKE ACHOMA NYUMBA KISA WIVU WA MAPENZI
10 years ago
Vijimambo31 Jan
AMCHINJA MPENZI WAKE MPAKA KUFA KISA WIVU WA MAPENZI
![](https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10922564_1540166222923624_2027979800861753973_n.jpg?oh=1d7a6c7590836b92ab1cf37a064e43a2&oe=556F60BA)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/1535614_1540166182923628_1455821636154848199_n.jpg?oh=c1877272e9c83c49582080e68ea0f0a8&oe=55673300&__gda__=1433149290_33dcbd593e44826056ffd37788d2d561)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-0mzr9uY6iyAiEp*imiwUjETMVGkBiNmEKwwVeBGU91iXqNF86JE9ngvHM7iaRaNVisfHn5f39PSw2kiK*cowIR/moto1.jpg)
AICHOMA NYUMBA YAKE KISA WIVU WA MAPENZI SEGEREA JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Auawa kwa kuchomwa kisu na mumewe
10 years ago
Habarileo03 Jan
Dereva teksi afumaniwa, auawa kwa kuchomwa kisu kifuani
DEREVA teksi Hamis Seleman (18), mkazi wa Vingunguti jijini Dar es Salaam, amekufa baada ya kuchomwa kisu kifuani na Ali Kimodo, aliyemfumania akiwa na mpenzi wake.