MWALIMU AFA KIMIUJIZA
![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcpvcrKySTlWOVrdDdJpI0h4ZHB3W28J1xpaWfAWJSRIossCAwO5ObQQk*e7uFgNjt5nCkiKJi8mvwc0X4D56n6h/MWALIMU.jpg?width=650)
Stori: WAANDISHI WETU Mwalimu Gloria Tarimo ‘Ticha Gloria’ (29) aliyekuwa akifundisha katika Shule ya Mbezi High School ya jijini Dar, amefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha huku baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakidai kifo chake ni cha kimiujiza. Ticha Gloria ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo, alifariki dunia Desemba 6, mwaka huu katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Jul
Mwalimu afa baada ya kujitosa ziwani
MWALIMU wa Shule ya Msingi Kibumaye iliyopo tarafa ya Inchage wilayani Tarime mkoani Mara, Nelson Zachma (50) amekufa kwa kujitosa Ziwa Victoria.
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mwalimu afa kwa kuchomwa kisu, kisa wivu wa mapenzi
WATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti mkoani Kilimanjaro, likiwamo la mwalimu wa shule ya sekondari Minja wilayani Mwanga, Tumaini Magila (27) kumuua mumewe Sweetbert Magila (48) kwa kumchoma kisu, kutokana na wivu wa kimapenzi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCg-ldegUJPxiryPyitK3RedqXM9VL5ahUYNEM*FYbxC8zUU7QKPDd7zQ3selzHzQqvQwJdXfH-b9*ZLRh*oBu8D/mke.jpg?width=650)
MKE ATOWEKA KIMIUJIZA
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Mwalimu adaiwa kumuua mwalimu mwenzake Kagera
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/z7xKGPrSF9BGci0w6jXUMV*SrGIEQFNxHpmsPO2E6tIxqaM1xr7-qonhWL6Y7Zi6GLnEd9VIEkTeC6XohQaK15XUmDB3dT4b/mdunguaji.jpg)
MDUNGUAJI TARIME...AFA
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Mwanaume afa maji
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti likiwemo la kufa maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi saa 10 jioni,...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Mrema afa na mtu
MWENYEKITI wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, amekunjua upya makucha yake yaliyowahi kurarua viongozi wenzake akiwa katika NCCR-Mageuzi na TLP, na sasa amefukuza hadharani madiwani wawili wa chama chake...