Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MDUNGUAJI TARIME...AFA

Stori: Na Igenga Mtatiro, Tarime
MDUNGUAJI wa watu takriban tisa wilaya ya Tarime mkoa wa mara, alifariki dunia usiku wa kuamkia juzi alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Tarime baada ya kuzidiwa na vipigo vya Jeshi la Polisi, akigoma kutaja washirika wake. Taarifa zilizotolewa na mganga mfawidhi wa Hospitali hiyo Roberty Onesmo zilisema muuaji huyo, Charles Range Kichune (38) alifariki dunia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mdunguaji avamia Tarime na kuua

JESHI la Polisi limeanzisha operesheni maalumu ya kumsaka mtu anayedaiwa kuwa jambazi, ambaye anaendelea kufanya mauaji wilayani Tarime.

 

9 years ago

Mwananchi

Mmoja afa, watano wajeruhiwa Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

 

9 years ago

GPL

MDUNGUAJI MARA AIBUKA TENA!

Na Igenga Mtatiro, Mara Hofu kubwa imetanda kwa wakazi wa Wilaya ya Tarime na vitongoji vyake mkoani hapa, baada ya kuibuka kwa mtu aliyepachikwa jina la Kenonke III (kwa lugha ya Kikurya), likiwa na maana ya hiki ni nini, asiyejulikana sura anayedaiwa kuua watu sita na kuwajeruhi wengine akitumia bunduki aina ya SMG.   ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1JSX41P ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa maji

MTOTO Yunus Abijan (4) mkazi wa Keko Mwanga, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi...

 

11 years ago

GPL

MWALIMU AFA KIMIUJIZA

Stori: WAANDISHI WETU
Mwalimu Gloria Tarimo ‘Ticha Gloria’ (29) aliyekuwa akifundisha katika Shule ya Mbezi High School ya jijini Dar, amefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha huku baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakidai kifo chake ni cha kimiujiza.
Ticha Gloria ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo, alifariki dunia Desemba 6, mwaka huu katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanachuo afa maji

MWANAFUNZI wa Chuo cha Utumishi jijini Dar es Salaam, Deus Josephat (21), mkazi wa Mjimwema, amefariki dunia alipokuwa akiogelea na wenzake ufukweni mwa Bahari ya Hindi eneo la Maweni Beach...

 

10 years ago

GPL

MSANII AFA GHAFLA!

Stori: Hamida Hassan Msiba! Bado bundi wa vifo anaendelea kung’ang’ania tasnia ya sinema za Kibongo kufuatia kifo cha ghafla cha msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ ambaye amefariki dunia ghafla baada ya kupatwa na kifafa cha mimba, ugonjwa uliomkuta muda mfupi kabla ya kujifungua. Msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ enzi za uhai wake. Mauti hayo yalimkuta MC Chimamy...

 

10 years ago

Mwananchi

Mfanyabiashara afa ‘gesti’

Mfanyabiashara maarufu jijini Arusha, Olais Metili mkazi wa Uzunguni jijini hapa, amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni ya Hoteli Diamond Motel iliyopo eneo la Sakina jijini hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Afa akiendesha baiskeli

WATU wawili wamefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti akiwemo mwanamume aliyetambuliwa kwa jina la  Mashaka Mkani aliyefariki dunia akiwa anaendesha baiskeli. Kamanda wa Polisi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani