Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdunguaji avamia Tarime na kuua

JESHI la Polisi limeanzisha operesheni maalumu ya kumsaka mtu anayedaiwa kuwa jambazi, ambaye anaendelea kufanya mauaji wilayani Tarime.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MDUNGUAJI TARIME...AFA

Stori: Na Igenga Mtatiro, Tarime
MDUNGUAJI wa watu takriban tisa wilaya ya Tarime mkoa wa mara, alifariki dunia usiku wa kuamkia juzi alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Tarime baada ya kuzidiwa na vipigo vya Jeshi la Polisi, akigoma kutaja washirika wake. Taarifa zilizotolewa na mganga mfawidhi wa Hospitali hiyo Roberty Onesmo zilisema muuaji huyo, Charles Range Kichune (38) alifariki dunia...

 

11 years ago

Mwananchi

Risasi zinavyotumika kuua raia Tarime

Katika Kijiji cha Gomsala, Tarime mkoani Mara yupo Matuma Marwa (22), ambaye hakuwahi kufikiria kwamba siku moja atakuwa mlemavu pamoja na kuwa kila binadamu aliye hai ni mlemavu mtarajiwa.

 

9 years ago

GPL

MDUNGUAJI MARA AIBUKA TENA!

Na Igenga Mtatiro, Mara Hofu kubwa imetanda kwa wakazi wa Wilaya ya Tarime na vitongoji vyake mkoani hapa, baada ya kuibuka kwa mtu aliyepachikwa jina la Kenonke III (kwa lugha ya Kikurya), likiwa na maana ya hiki ni nini, asiyejulikana sura anayedaiwa kuua watu sita na kuwajeruhi wengine akitumia bunduki aina ya SMG.   ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1JSX41P ...

 

11 years ago

GPL

MTITU AVAMIA KIBAO KATA

Stori: Hamida Hassan MUIGIZAJI na Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amewashangaza watu baada ya kuibuka katika sherehe ya wanawake maarufu kama kibao kata cha Vanita Omary. Muigizaji na Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu.
Ishu hiyo ilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa PG, Kinondoni jijini Dar ambapo mke wa staa huyo alikuwa miongoni mwa waalikwa lakini cha kushangaza Mtitu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC avamia mkutano, amtusi mbunge

MKUU wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Venance Mwamoto, amevamia jukwaa la mkutano wa NCCR-Mageuzi na kisha kumtolea lugha ya matusi Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali. Mwamoto alijikaribisha kwenye mkutano...

 

11 years ago

Michuzi

ankal avamia BBC London

 Ankal akiwa na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC Bw. Ali Saleh alipovamia kituo hicho kuwataka hali wadau. Ankal alifarijika na kufurahi mno kukuta kumbe bosi huyu ni Bwawa la Maini damu kama yeye. Ila alimkuta hana furaha sana  kwa kuwa vijana wa Liverpool wameharibu plani ya kocha Brendan ya kubaki katika nne bora tu mwaka huu ili kucheza Europe Cup na sio kuchukua ubingwa mwaka huu. Maana inavyoelekea kombe linaenda Anfield, ambapo Ali Saleh anasema ah! tukishinda hatutolikataa ila sie...

 

11 years ago

GPL

DIANA KIMARO AVAMIA SHISHA ZA WATEJA

Diana Kimaro. NI wikiendi nyingine, mapaparaz wetu Musa Mateja ‘Toz’,  Denis Mtima ‘Paroko’, Chande Abdallah ‘Mjeda’, Dustan Shekidele ‘Mzee wa mji kasoro Bahari na Mpiga picha Mkuu Richard Bukosi walijiachia viwanja mbalimbali kusaka matukio huku wakiwasiliana ‘laivu’ na mkuu wao, Oscar Ndauka ‘Os Anjelus’ aliyekuwa makao makuu ya ofisi za gazeti hili,...

 

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi avamia walimu na gobori, awapora

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Richard Thadeo (17) anashikiliwa na Polisi wilayani humo kwa tuhuma za kuvamia walimu wa shule hiyo akiwa na silaha aina ya gobori na kuwapora Sh 75,000 taslimu na simu nne za mkononi.

 

10 years ago

Habarileo

‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu

ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani