Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI NI ZAIDI YA MAFURIKO

Waandishi Wetu HAIJAWAHI kutokea! Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana kimezindua kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Viwanja vya Jangwani jijini Dar huku umati wa watu waliojitokeza ukivunja rekodi kwa kukusanya wanachama na wananchi wengi kuliko katika kipindi cha rais Jakaya na Mkapa.  .......Soma zaidi====>http://bit.ly/1U8Xil0 ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Uchaguzi ni zaidi ya mafuriko na vijembe

Joto la Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 linazidi kupanda. Zimebaki siku zisizozidi 31 ili kufikia siku hiyo kwa Watanzania kujua mustakabali wa kiuongozi wa nchi yao kwa miaka mitano ijayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maiti zaidi za mafuriko zapatikana

MAITI nyingine za watu wawili waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Jijii la Dar es Salaam zimepatikana. Maiti hizo zinafanya jumla ya watu waliripotiwa na Jeshi la...

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mafuriko makubwa zaidi katika miaka 50 Marekani Kusini

Hali mbaya ya hewa imeathiri eneo kubwa la Marekani kusini katika msimu huu wa Krismasi, na kusababisha vifo vya watu 26 na kuhamishwa kwa watu 150,000

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA QWIHAYA YATOA ZAIDI YA MILIONI 21 KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO PAWAGA







Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa anaongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada kutoka katika Kampuni ya QWIHAYA ya wilaya Mufindi kwa ajili ya wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Mbingama mkoani Iringa.
Huu ndio msaada wa Mirunda ambayo itaenda kusaidia katika ujenzi wa makazi mapya kwa wananchi wa kitongoji cha Mbingama



NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

KAMPUNI ya QWIHAYA GENERAL CO LTD ya mkoani Iringa imetoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 21 kwa...

 

9 years ago

GPL

SIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...

Moja kati ya mikutano ya kampeni ya D.k Magufuli. Gabriel Ng’osha na Gladness Malya NDIYO maana! Mtabiri bingwa na mtaalam wa nyota Afrika Mashariki Maalim Hassan Yahya amepasua jipu kuwa wagombea wawili wa urais katika uchaguzi wa mwaka huu, John Magufuli na Edward Lowassa wanabebwa na nyota zao. Moja kati ya mikutano ya kampeni ya Ukawa. Akizungumza na waandishi wetu hivi karibuni, alisema kinajimu, herufi M inayosimama...

 

11 years ago

Michuzi

ZAIDI YA WANANCHI 50 WAHANGA WA MAFURIKO WAPATIWA MSAADA WA CHAKULA KIJIJI CHA THEMI YA SIMBA ARUSHA

Mzee wa kanisa la Waadventista wasabato  mtaa wa kijenge   Agrey Tumaini akigawa mahindi kwa wananchi wa kitongoji cha kitongoji  cha Nyamagana  kilichopo katika kijiji cha Themi ya simba wilayani Arumeru MKoani Arusha (picha na woinde shizza,Arusha=========  ======  ====== Na Woinde shizza,Arusha
Zaidi ya wananchi  50  wa kitongoji  cha Nyamagana  kilichopo katika kijiji cha Themi ya simba wilayani Arumeru MKoani Arusha ambao waliathiriwa na mafuriko yaliotokea mwisho mwa mwezi wa nne...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk. Magufuli: Fedha za kukabiliana na mafuriko Dar zinatafutwa

Serikali imesema inatafuta fedha kwa ajili ya kutekeleza utafiti uliofanywa na Wizara ya Ujenzi ili kukabiliana na mafuriko yanayotokea jijini Dar es Salaam.

Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema).

Mdee alisema watafiti wa Wizara ya Ujenzi, walishauri kujengwa kwa mifereji ya chini mikubwa kutoka Ubungo hadi Kawe ili kukabiliana na mafuriko.

Alisema zoezi zima la ujenzi wa mifereji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani