MAGUFULI NI ZAIDI YA MAFURIKO
![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65MxC77BXOVKgzSFsblc9gOXqWeK34y2TC7JES3VOpMZ8OWfEjRod6pRpEc-YRkm7HiPI37KkiIWVAFWXUPyMPt/FRONTWIKIENDAdar.gif?width=650)
Waandishi Wetu HAIJAWAHI kutokea! Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana kimezindua kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu katika Viwanja vya Jangwani jijini Dar huku umati wa watu waliojitokeza ukivunja rekodi kwa kukusanya wanachama na wananchi wengi kuliko katika kipindi cha rais Jakaya na Mkapa. Â .......Soma zaidi====>http://bit.ly/1U8Xil0 ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Sep
Uchaguzi ni zaidi ya mafuriko na vijembe
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Maiti zaidi za mafuriko zapatikana
MAITI nyingine za watu wawili waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyoyakumba maeneo mbalimbali ya Jijii la Dar es Salaam zimepatikana. Maiti hizo zinafanya jumla ya watu waliripotiwa na Jeshi la...
11 years ago
Habarileo26 Jan
Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi
SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Mafuriko makubwa zaidi katika miaka 50 Marekani Kusini
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nWWDu4q07f8/U0qzoiKfvGI/AAAAAAAFaeo/-lVVkE0AeJA/s72-c/578b05b586da72cb24792c914c30f437+(2).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_125321.jpg)
KAMPUNI YA QWIHAYA YATOA ZAIDI YA MILIONI 21 KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO PAWAGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vhG7kSnlHPA/Xn4Ztsv4LWI/AAAAAAAAHwQ/WsESE3ItP5cLugbOH0blEWF5WRogSajVwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125321.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akiwa anaongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada kutoka katika Kampuni ya QWIHAYA ya wilaya Mufindi kwa ajili ya wahanga wa mafuriko yaliyotokea katika kitongoji cha Mbingama mkoani Iringa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YFtTabfUZnU/Xn4ZtpAQqvI/AAAAAAAAHwM/IrOkO93ft2QbccZi3CDY9WRWu5oJDc8eQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_125209.jpg)
Huu ndio msaada wa Mirunda ambayo itaenda kusaidia katika ujenzi wa makazi mapya kwa wananchi wa kitongoji cha Mbingama
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya QWIHAYA GENERAL CO LTD ya mkoani Iringa imetoa msaada wa zaidi ya shilingi milioni 21 kwa...
9 years ago
GPLSIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-C9QShnrmabQ/U5W3xlX8NmI/AAAAAAACjEE/xwzFbBRPW6E/s72-c/IMG_20140608_115610_0.jpg)
ZAIDI YA WANANCHI 50 WAHANGA WA MAFURIKO WAPATIWA MSAADA WA CHAKULA KIJIJI CHA THEMI YA SIMBA ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-C9QShnrmabQ/U5W3xlX8NmI/AAAAAAACjEE/xwzFbBRPW6E/s1600/IMG_20140608_115610_0.jpg)
Zaidi ya wananchi 50 wa kitongoji cha Nyamagana kilichopo katika kijiji cha Themi ya simba wilayani Arumeru MKoani Arusha ambao waliathiriwa na mafuriko yaliotokea mwisho mwa mwezi wa nne...
10 years ago
Vijimambo22 Nov
Dk. Magufuli: Fedha za kukabiliana na mafuriko Dar zinatafutwa
![](http://api.ning.com/files/dM6a4AYRwJO91KVwNcx-INT*-g*e87Ic*jgnnG8xy-W2kblNc3BtRmODLeBgMsKzqOnB3DhCe6WfJEorBRCUMcCxTSjisdyz/profmuhongo.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema).
Mdee alisema watafiti wa Wizara ya Ujenzi, walishauri kujengwa kwa mifereji ya chini mikubwa kutoka Ubungo hadi Kawe ili kukabiliana na mafuriko.
Alisema zoezi zima la ujenzi wa mifereji...