Dk. Magufuli: Fedha za kukabiliana na mafuriko Dar zinatafutwa
Serikali imesema inatafuta fedha kwa ajili ya kutekeleza utafiti uliofanywa na Wizara ya Ujenzi ili kukabiliana na mafuriko yanayotokea jijini Dar es Salaam.
Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema).
Mdee alisema watafiti wa Wizara ya Ujenzi, walishauri kujengwa kwa mifereji ya chini mikubwa kutoka Ubungo hadi Kawe ili kukabiliana na mafuriko.
Alisema zoezi zima la ujenzi wa mifereji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA JINSI ANAVYOLIONGOZA VEMA TAIFA, AGUSIA CORONA , MAFURIKO
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango ametoa pongezi za dhati kwa Rais Dk.John Magufuli kwa jinsi alivyoendelea kuliongoza vema Taifa letu huku akifafanua kwa kipindi cha miaka minne na nusu ya utawala wake tumeshuhudia kuimarika kwa uchumi , mfumuko wa bei umethibitiwa na miradi mikubwa ya maendeleo imetekelezwa.
Pia amesema wajibu katika utumishi wa umma umeimarika na kero za wananchi wanyonge zimetatuliwa, hivyo kwa kipekee kumuamini kuongoza Wizara ya...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Fedha za kukabiliana na ebola zatoweka
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Virusi vya corona: Shirika la fedha duniani kukabiliana na janga kiuchumi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tnkKBYC5xnY/VPmSJk-LnVI/AAAAAAAHIAY/Xpexb79a1ZI/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
Akiongea na waandishi wa habari leo,Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia amesema anawaomba watanzania wote wanaotaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fKbKr2cWTn8/XrpqIGhCCdI/AAAAAAALp4w/W2_L_sLB5XkluXNuyYAH-A6gme5ezCXOwCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KAMATI YA SERA YA FEDHA BOT YASHUSHA AHUENI KWA WATANZANIA KATIKA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fKbKr2cWTn8/XrpqIGhCCdI/AAAAAAALp4w/W2_L_sLB5XkluXNuyYAH-A6gme5ezCXOwCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wI0T4ivhh2s/XrpnLeQCd-I/AAAAAAALp4k/ixTeb2MgpvsQkegfO4g9vb0gzZl3Qi8oQCLcBGAsYHQ/s640/kk.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mB3qupXh7hw/XrpnLDsnJfI/AAAAAAALp4g/-CoQsMnPviMmjfvVbw3FcSl17cAb5akKwCLcBGAsYHQ/s640/Taarifa%2Bkwa%2BUmma%2B120520-2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3IvMr*vJcULDKTNbrCvRbHl09gBrlkVdloy2OHVnF9UifbQBx2w7HaOLeUt0Yx3MgDs8lszAeDqjZmN9FiPzAJd/001.REDALERT.jpg)
VODACOM WATOA WITO KUCHANGIA FEDHA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli aamuru Fedha zilizopaswa kutumika kugharamia Shamrashamra za siku ya Uhuru Desemba 9 sasa zitumike kujengea barabara ya Mwenge - Morocco, Jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-xGs6HG204NU/VlxHz57XWmI/AAAAAAAIJOY/HAX40Wf2erI/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Tayari fedha hizo kiasi cha shilingi bilioni nne zimepelekwa kwa wakala wa barabara hapa nchini TANROADS kwa ajili ya utekelezaji wa agizo hilo, linalopaswa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi65MxC77BXOVKgzSFsblc9gOXqWeK34y2TC7JES3VOpMZ8OWfEjRod6pRpEc-YRkm7HiPI37KkiIWVAFWXUPyMPt/FRONTWIKIENDAdar.gif?width=650)
MAGUFULI NI ZAIDI YA MAFURIKO
9 years ago
GPLSIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...