Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nestle yaagizwa kuondoa tambi zake India

Shirika la India linalohusika na ubora wa vyakula limepiga marufuku utengenezaji wa chakula aina ya tambi ziitwazo ''Maggi Noodles''

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya tambi za Nestle yaondolewa India

Marufuku ya tambi za kampuni ya kutengeneza chakula ya Nestle imeondolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tambi zapatikana na madini hatari India

Maafisa wa India wamepiga marufuku chakula aina ya tambi ziitwazo ''Maggi noodles'' baada yakupatikana na madini hatari aina ya 'lead'.

 

10 years ago

BBCSwahili

India yaishtaki kampuni ya Nestle

Serikali ya India inaishtaki kampuni ya Nestle kwa malipo ya dola milioni 100 kwa mfumo wa biashara usio halali kulingana na afisa mmoja.

 

5 years ago

CCM Blog

ATCL WASHIRIKI KONGAMANO LA KIBIASHARA INDIA WAJIVUNIA UBORA WA NDEGE ZAKE

 Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akihutubia katika kongamano hilo la biashara la uwekezaji Jijini Mumbai ,India hivi karibuni.
Katibu Mtendaji mkuu wa Wafanyabiashara na Viwanda wa Indo-Afrika  Bi. Sunanda Rajendran  akizungumza katika kongamano hilo
 Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) Patrick Ndekana akizungumza katika kongamano hilo la biashara la uwekezaji Jijini Mumbai, India hivi karibuni.



 
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ya Nestle kuchimba kisima Mtwara

KAMPUNI ya Nestle, tawi la Tanzania imetoa msaada wa sh milioni 10 kwa ajili ya mradi wa kisima kirefu katika Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMMUCO) cha mkoani Mtwara. Akizungumza...

 

9 years ago

Bongo5

Kampuni ya Nestle yathibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake ya Nido

NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)

Kampuni mama ya bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, Nestle, hivi karibuni imethibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake hii maarufu ya NIDO.

NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)

Hii imekuja baada ya mabadiliko ya chanzo cha upatikanaji wa maziwa haya kuhamia nchi ya Afrika Kusini, mabadiliko haya yalisababisha mkanganyiko kwa watumiaji wake wa kila siku.

Kampuni ya Nestle imewahakikishia kuwa NIDO (kwenye picha) kama ilivyo bidhaa nyingine kutoka Nestle, imetengenezwa kwa kufuata viwango vya hali ya juu kabisa vya uborana...

 

10 years ago

Mtanzania

Kilindi yaagizwa kukomesha migogoro

RC GeitaNa Amina Omari, Kilindi

SERIKALI mkoani Tanga imeliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya wilaya, kuhakikisha wanakomesha migogoro baina ya wakulima na wafugaji ambayo imechangia kuwepo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Magalula Said Magalua wakati wa hafla ya kumsimika kiongozi mkuu wa wafugaji, Lweigwanani iliyofanyika katika Kijiji cha Elerai kilichopo Kata ya Kibrashi wilayani humo.

Alisema endapo viongozi hao...

 

10 years ago

Habarileo

NHIF yaagizwa kuboresha vitambulisho

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeuagiza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuboresha mfumo mzima wa vitambulisho vyao vya bima kwa wanachama wake, ili kuhakikisha huduma bora zaidi zinapatikana kwa wakati.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rwanda:Serikali yaagizwa kuishtaki BBC

Tume ya uchunguzi nchini Rwanda imebaini kipindi cha shirika la habari la BBC hakikufikia kiwango cha uhariri wa shirika hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani