Nestle yaagizwa kuondoa tambi zake India
Shirika la India linalohusika na ubora wa vyakula limepiga marufuku utengenezaji wa chakula aina ya tambi ziitwazo ''Maggi Noodles''
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Marufuku ya tambi za Nestle yaondolewa India
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Tambi zapatikana na madini hatari India
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
India yaishtaki kampuni ya Nestle
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6LPoGuSRNOw/Xmzgy5ravbI/AAAAAAAAnFo/-Vx8_rNc4n0KX6Egps-mElatAaW0grQPQCLcBGAsYHQ/s72-c/813cc886-b511-494c-9e44-3fc9366e038e.jpg)
ATCL WASHIRIKI KONGAMANO LA KIBIASHARA INDIA WAJIVUNIA UBORA WA NDEGE ZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-6LPoGuSRNOw/Xmzgy5ravbI/AAAAAAAAnFo/-Vx8_rNc4n0KX6Egps-mElatAaW0grQPQCLcBGAsYHQ/s640/813cc886-b511-494c-9e44-3fc9366e038e.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mlzhREloARg/Xmzg0aHZ7-I/AAAAAAAAnF4/lhafswoiY60rmWefZvYPjSjQK2H2rh2YgCLcBGAsYHQ/s640/e9a3d680-ed15-43eb-93f6-49e13590d40a.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zd0xZpm0mtQ/XmzgyhNg5WI/AAAAAAAAnFg/_ZqU_9iem5gLFIeeHkDjIsIiGAoHoZbDACLcBGAsYHQ/s640/00485049-0360-44e1-9ee7-3d5528ab2ebe.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UQQVLiahXfg/XmzgzxD2QQI/AAAAAAAAnFw/42VARYOugcA5v3zovzJrFOpdgTqu6_VlQCLcBGAsYHQ/s640/a9f50b42-63e4-40d0-b156-3a9c986647c0.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ROu3AYD-8PY/Xmzgy1bUIAI/AAAAAAAAnFk/LhkW3dMbYgsSVoLyghVCzR70-4y0psDsQCLcBGAsYHQ/s640/7c329f68-52c5-4a6a-86f6-a86dd6f4103a.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NFd4v5PD0wc/Xmzgzo8qTtI/AAAAAAAAnFs/unRzwnEuaqgy_lCmPk1KeAYC-6YMbY7zQCLcBGAsYHQ/s640/8e60d0fb-3f33-408c-a2c7-39be085c3988.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akiwa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Kampuni ya Nestle kuchimba kisima Mtwara
KAMPUNI ya Nestle, tawi la Tanzania imetoa msaada wa sh milioni 10 kwa ajili ya mradi wa kisima kirefu katika Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMMUCO) cha mkoani Mtwara. Akizungumza...
9 years ago
Bongo526 Dec
Kampuni ya Nestle yathibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake ya Nido
![NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa1-300x194.jpg)
Kampuni mama ya bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, Nestle, hivi karibuni imethibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake hii maarufu ya NIDO.
Hii imekuja baada ya mabadiliko ya chanzo cha upatikanaji wa maziwa haya kuhamia nchi ya Afrika Kusini, mabadiliko haya yalisababisha mkanganyiko kwa watumiaji wake wa kila siku.
Kampuni ya Nestle imewahakikishia kuwa NIDO (kwenye picha) kama ilivyo bidhaa nyingine kutoka Nestle, imetengenezwa kwa kufuata viwango vya hali ya juu kabisa vya uborana...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Kilindi yaagizwa kukomesha migogoro
Na Amina Omari, Kilindi
SERIKALI mkoani Tanga imeliagiza Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na viongozi wa ngazi ya wilaya, kuhakikisha wanakomesha migogoro baina ya wakulima na wafugaji ambayo imechangia kuwepo kwa vitendo vya uvunjifu wa amani.
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Magalula Said Magalua wakati wa hafla ya kumsimika kiongozi mkuu wa wafugaji, Lweigwanani iliyofanyika katika Kijiji cha Elerai kilichopo Kata ya Kibrashi wilayani humo.
Alisema endapo viongozi hao...
10 years ago
Habarileo26 Oct
NHIF yaagizwa kuboresha vitambulisho
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeuagiza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kuboresha mfumo mzima wa vitambulisho vyao vya bima kwa wanachama wake, ili kuhakikisha huduma bora zaidi zinapatikana kwa wakati.
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Rwanda:Serikali yaagizwa kuishtaki BBC