Kampuni ya Nestle kuchimba kisima Mtwara
KAMPUNI ya Nestle, tawi la Tanzania imetoa msaada wa sh milioni 10 kwa ajili ya mradi wa kisima kirefu katika Chuo Kikuu cha Stella Maris (STEMMUCO) cha mkoani Mtwara. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
India yaishtaki kampuni ya Nestle
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL. 25 ZA KUCHIMBA KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MAKUBURI, DAR
9 years ago
Bongo526 Dec
Kampuni ya Nestle yathibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake ya Nido
![NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa(1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/NIDO-PACK-PRESS_TIN_D-swa1-300x194.jpg)
Kampuni mama ya bidhaa ya maziwa ya unga ya NIDO, Nestle, hivi karibuni imethibitisha ubora na uhalisia wa bidhaa yake hii maarufu ya NIDO.
Hii imekuja baada ya mabadiliko ya chanzo cha upatikanaji wa maziwa haya kuhamia nchi ya Afrika Kusini, mabadiliko haya yalisababisha mkanganyiko kwa watumiaji wake wa kila siku.
Kampuni ya Nestle imewahakikishia kuwa NIDO (kwenye picha) kama ilivyo bidhaa nyingine kutoka Nestle, imetengenezwa kwa kufuata viwango vya hali ya juu kabisa vya uborana...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s72-c/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s640/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2lCKfAIwYj0/VYjlSvLgF0I/AAAAAAAARaQ/nogF8I7UKlc/s640/IMG_2182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yb7xg6iZgrw/VYjlVL7-cwI/AAAAAAAARag/tj6IN7g_v34/s640/IMG_2184%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CdOZt5LH4iY/VYjlYU5sZnI/AAAAAAAARas/Lm4coaebRFw/s640/IMG_2187%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BHR0Y4N4KV8/VYjlH4afiEI/AAAAAAAARZo/w8FySszIGPw/s640/IMG_2131%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6fEyV_-4Bz0/VYjlHDbiY0I/AAAAAAAARZg/bdHy2ZuldBY/s640/IMG_2132%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s72-c/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
TIMU YA WATU 21 YA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WASHUKA KUTOKA MLIMA KILIMANJARO,WACHANGISHA MILIONI 800 KWA AJILI YA ELIMU TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-XmV1O3U-xx4/VZHCv08teOI/AAAAAAAARks/WqTCs1Mx0vo/s640/E86A1886%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cCN8zZglqsg/VZHCwcMpjII/AAAAAAAARk0/Gy5SORXD49E/s640/E86A1893%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_fT-hj1aXo/VZHCxONJ9jI/AAAAAAAARk4/nViv3ApWAUU/s640/E86A1898%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oL1ZaEtiEBA/VZHC42LrgoI/AAAAAAAARlE/IgTbFcRJ7_0/s640/E86A1913%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
MichuziKampuni ya maji ya Kisima AQUA COOL LTD yatoa msaada wa nguo za kujikinga na mvua kwa wafanyabiashara wadogo wadogo jijini dar
KUTOKANA na mvua kubwa zilizonyesha karibu maeneo yote ya nchi na kuleta maafa hususan katika jijin la Dar es Salaam Kampuni ya Aqua Cool Ltd Watengenezaji wa maji safi ya Kisima Pure Drinking Water imetoa msaada wa mavazi ya kujikinga na mvua ya mpira (ponchos) kwa wakazi wa wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Msaada huo ulitolewa na uongozi na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa makundi mbalimbali kama watembea kwa miguu, mama lishe , waendesha bodaboda na...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kampuni yaajiri vijana Mtwara
KAMPUNI ya Supply Base Solutions Ltd (SBS) inayokusanya taka za baharini zinazosababishwa na uchimbaji wa gesi na mafuta mkoani Mtwara, imetoa kipaumbele cha ajira kwa wakazi waishio jirani na kampuni...
10 years ago
VijimamboMAKABIDHIANO YA PUMPU YA MAJI KISIMA CHA KABURI KIKOMBE NA UTILIANAJI SAINI YA MRADI WA UCHIMBAJI KISIMA BOMANI UKIWA NA THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA TATU