Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rwanda:Serikali yaagizwa kuishtaki BBC

Tume ya uchunguzi nchini Rwanda imebaini kipindi cha shirika la habari la BBC hakikufikia kiwango cha uhariri wa shirika hilo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali

Chama cha Wazabuni Mbeya (Chawambe), kinakusudia kuiburuza mahakamani serikali ya mkoa kwa madai ya kushindwa kuwalipa wanachama wake wenye zabuni ya kusambaza vyakula na vifaa vingine serikalini.

 

10 years ago

BBC

Rwanda urged to take BBC to court

An inquiry in Rwanda urges the government to initiate criminal and civil proceedings against the BBC for a documentary about the 1994 genocide.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabunge Rwanda walaani BBC

Bunge la Rwanda limepiga kura ya kupiga marufuku BBC nchini humo, kufuatia kipindi kilichopeperushwa na shirika hilo kuhusu mauaji ya kimbari mwaka 1994

 

10 years ago

BBC

Rwanda bans BBC over genocide film

Rwanda suspends BBC broadcasts in the Kinyarwanda language with immediate effect because of a controversial documentary about the 1994 genocide.

 

10 years ago

BBC

Rwanda MPs condemn BBC over genocide

Rwanda's parliament condemns the BBC for broadcasting a TV documentary which questions official accounts of the 1994 genocide in the country.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tume ya Rwanda kuchunguza makala ya BBC

Serikali ya Rwanda imeunda Tume kutathimini makala ya BBC iliyorushwa kwa njia ya Televisheni kuhusu mauaji ya kimbari

 

11 years ago

Michuzi

POLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.

"Haya Mheshimiwa Mbunge sasa nakata utepe kuzindua rasmi usambazaji dawa za serikali ulio chini ya MSD" ni Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Kebwe akishuhudiwa na Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Tibaijuka (Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini) . "Haya tupige makofi kwa pamoja kuashiria kukubali uzinduzi huu" Naibu Waziri Dk. Kebwe (Kulia), Waziri Prof. Tibaijuka (Katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu MSD Bw. Mwaifwani.
Afisa Habari wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku kuishtaki CCM

Joseph ButikuNA WAANDISHI WETU

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.

Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.

Waandishi wetu...

 

10 years ago

GPL

Meneja wa Kaseja kuishtaki Yanga

Kipa namba mbili wa Yanga, Juma Kaseja. Na Wilbert Molandi
MENEJA wa kipa namba mbili wa Yanga, Juma Kaseja ambaye ni Abdulfatah Saleh ameibadilikia timu hiyo kwa kupanga kuishtaki, baada ya Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu, kutamka kwamba hawamtambui. Hiyo ni siku chache tangu meneja huyo kupanga kumuondoa Kaseja kwenye usajili wa dirisha dogo baada ya Yanga kukiuka makubaliano yaliyokuwemo kwenye mkataba.Yanga ilikiuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani