Butiku kuishtaki CCM
NA WAANDISHI WETU
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.
Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.
Waandishi wetu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Butiku aionya CCM
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Butiku aunga mkono wanaohama CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amewaunga mkono wanachama na makada wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wanaohamia vyama vya upinzani.
Alisema makada hao walichelewa kutoka ndani ya chama hicho na wameondoka wakati tayari chama hicho kimeharibika.
Butiku aliyasema hayo alipotoa mada kwenye mdahalo wa Maadili na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu, Dar es Salaam jana.
Alisema CCM ni sawa na kokoro ambalo limebeba kila aina ya uchafu.
Butiku...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Butiku: CCM ililea mtandao unaoitesa
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba
11 years ago
Mwananchi03 Aug
MJADALA: Kasaka, Butiku: Sera ya CCM ni Serikali mbili kwenda moja
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mbeya City kuishtaki Simba
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Yanga kuishtaki Mpumalanga Fifa
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mahmoud Abbas kuishtaki Israel
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali