Yanga kuishtaki Mpumalanga Fifa
Klabu ya Yanga imeonyesha nia ya kutaka kuishtaki klabu ya Mpumalanga Black Aces ya Afrika Kusini kwa kukiuka makubaliano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
Meneja wa Kaseja kuishtaki Yanga
11 years ago
Mtanzania09 Sep
Yanga kumburuza Okwi FIFA

Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Emmanuel Okwi
NA ZAITUNI KIBWANA, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Yanga unakusudia kuwasilisha malalamiko yao katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kumuidhinisha Okwi kuichezea Simba.
Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Richard Shinamkutwa, ilikutana juzi kujadili usajili huo uliozua utata na kumuidhinisha Okwi kama mchezaji huru, akiwemo beki, Abdi Banda wa Coastal Union, aliyeidhinishwa pia...
11 years ago
Mwananchi09 Sep
Yanga hiyoo mpaka Fifa
11 years ago
GPL
Fifa: Okwi rukusa Yanga
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Mkufunzi wa Fifa atajwa Yanga
11 years ago
GPL
FIFA: OKWI RUKSA YANGA
9 years ago
TheCitizen24 Dec
Yanga report SA team to Fifa over fee
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Yanga yaishitaki TFF kwa Fifa
11 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...