Yanga yaishitaki TFF kwa Fifa
Uongozi wa Yanga umesema leo utapeleka barua yake Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kuishtaki Kamati ya Utendaji ya TFF kwa kubadili kanuni za Ligi Kuu katikati ya msimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Mahaba ya TFF kwa Yanga na hatma ya soka letu
MAFANIKIO ya Soka la Tanzania yanategemea sana nidhamu, juhudi na moyo wa dhati wa kujitoa kwa wa
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo23 Nov
TFF kuichongea Algeria Fifa
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa linafuatilia kwa kina madai yalitolewa na Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Boniface Mkwasa (pichani) kuhusu hujuma walizofanyiwa wakiwa nchini Algeria.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Fifa kuipa fedha TFF
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Fifa yairudisha TFF Karume
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
FIFA KUBORESHA MAKAO MAKUU YA TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-1C1Yp_CzL_I/U_HGiq98ogI/AAAAAAAGAYY/9D4lZ9tXKCI/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Hatua hiyo itaiwezesha TFF kuwa na mazingira bora ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi.
Vilevile kupitia programu zake mbalimbali ikiwemo ile ya Goal, FIFA imeahidi kushirikiana na TFF...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Fedha za Fifa kujenga maduka TFF
10 years ago
Mwananchi07 Jan
TFF kulamba Sh2.2 bil za Fifa