Mkufunzi wa Fifa atajwa Yanga
Mkufunzi wa Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Henry Tandau ametajwa kuchukua nafasi ya katibu mkuu wa klabu ya Yanga iliyoachwa wazi na Benno Njovu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Yanga hiyoo mpaka Fifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzpknEUVxipRxskGOtvbNm7RLWakNaiknPE-6-CbtGPNtDSNk*8FngOfhKkKQFuq4hH0HORf0r2JTglkZtZHguva/FIFA.gif?width=650)
Fifa: Okwi rukusa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYFtwJp1xk62Fby0yigbfC31dQrcb6YtwvNPJX5-C5PBlBOIvxa2SdByksX36h-twQU*XUFEr4hzjejpYZ68J4q/OKWI.gif?width=650)
FIFA: OKWI RUKSA YANGA
10 years ago
Mtanzania09 Sep
Yanga kumburuza Okwi FIFA
![Emmanuel Okwi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Emmanuel-Okwi.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Emmanuel Okwi
NA ZAITUNI KIBWANA, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa timu ya Yanga unakusudia kuwasilisha malalamiko yao katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupinga Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji kumuidhinisha Okwi kuichezea Simba.
Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Richard Shinamkutwa, ilikutana juzi kujadili usajili huo uliozua utata na kumuidhinisha Okwi kama mchezaji huru, akiwemo beki, Abdi Banda wa Coastal Union, aliyeidhinishwa pia...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Yanga kuishtaki Mpumalanga Fifa
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Yanga yaishitaki TFF kwa Fifa
9 years ago
TheCitizen24 Dec
Yanga report SA team to Fifa over fee