Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahmoud Abbas kuishtaki Israel

Rais wa Palestina amekataa kukubali mamilioni ya dola ambazo ni fedha za kodi ambazo zilikuwa zimezuiliwa na Israeli.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mahmoud Abbas,Netanyahu waandamana

Mfalme wa Jordan na Rais wa Palestinian Mahmoud Abbas wameshiriki maandamano yaliyofanyika mjini Paris Ufaransa.

 

10 years ago

Mtanzania

Butiku kuishtaki CCM

Joseph ButikuNA WAANDISHI WETU

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.

Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.

Waandishi wetu...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City kuishtaki Simba

>Wakati Simba ikibainika kumsajili kinyemela  Saad Kipanga, Mbeya City imedai suala la mshambuliaji huyo litawafanya “kufikishana pabaya”.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali

Chama cha Wazabuni Mbeya (Chawambe), kinakusudia kuiburuza mahakamani serikali ya mkoa kwa madai ya kushindwa kuwalipa wanachama wake wenye zabuni ya kusambaza vyakula na vifaa vingine serikalini.

 

10 years ago

GPL

Meneja wa Kaseja kuishtaki Yanga

Kipa namba mbili wa Yanga, Juma Kaseja. Na Wilbert Molandi
MENEJA wa kipa namba mbili wa Yanga, Juma Kaseja ambaye ni Abdulfatah Saleh ameibadilikia timu hiyo kwa kupanga kuishtaki, baada ya Katibu Mkuu wa Yanga, Benno Njovu, kutamka kwamba hawamtambui. Hiyo ni siku chache tangu meneja huyo kupanga kumuondoa Kaseja kwenye usajili wa dirisha dogo baada ya Yanga kukiuka makubaliano yaliyokuwemo kwenye mkataba.Yanga ilikiuka...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga kuishtaki Mpumalanga Fifa

Klabu ya Yanga imeonyesha nia ya kutaka kuishtaki klabu ya Mpumalanga Black Aces ya Afrika Kusini kwa kukiuka makubaliano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ombi la kuishtaki Kenya ICC lakataliwa

Mahakama ya rufaa ya ICC, imetupilia mbali rufaa ya mwendesha mashtaka ya kuishtaki Kenya katika kongamano la kimataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Rwanda:Serikali yaagizwa kuishtaki BBC

Tume ya uchunguzi nchini Rwanda imebaini kipindi cha shirika la habari la BBC hakikufikia kiwango cha uhariri wa shirika hilo

 

10 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani