Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali
Chama cha Wazabuni Mbeya (Chawambe), kinakusudia kuiburuza mahakamani serikali ya mkoa kwa madai ya kushindwa kuwalipa wanachama wake wenye zabuni ya kusambaza vyakula na vifaa vingine serikalini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wazabuni Mbeya wadai kufilisika
MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mbeya City kuishtaki Simba
10 years ago
BBCSwahili28 Feb
Rwanda:Serikali yaagizwa kuishtaki BBC
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wazabuni kugoma, kwenda kortini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZABUNI CHANZO UCHELEWESHJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Brigedia Jenerali Mbuge ameyasema hayo Februari 13, 2020 mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara ya kukagua...
11 years ago
Habarileo05 Mar
DART yawatoa wasiwasi wazabuni
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Wazabuni Songea wakumbushia deni lao
WAZABUNI wa vyakula katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameikumbusha serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa deni lao la zaidi ya sh bilioni moja lililotokana na kulisha katika shule za sekondari,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AzWQf6ZXn8M/XkavEx_pSlI/AAAAAAALdZg/izDjTsK4qeAoHH6WxF9iAe8-JljsuQT4wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BA.jpg)
WAZABUNI WATAJWA KUCHANGIA UCHELEWESHAJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-AzWQf6ZXn8M/XkavEx_pSlI/AAAAAAALdZg/izDjTsK4qeAoHH6WxF9iAe8-JljsuQT4wCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BA.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6yEwMud7eGY/XkavErRV_nI/AAAAAAALdZY/Mhao9Ek8nycrvx5xanNIdT0uybP4KcVNACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BD.jpg)
10 years ago
Mtanzania15 Oct
Butiku kuishtaki CCM
NA WAANDISHI WETU
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Serikali imesusia maadhimisho ya 15 ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Hali hiyo imejidhihirisha jana baada ya MTANZANIA kutembelea yaliyokuwa makazi ya Mwalimu Nyerere, Msasani Dar es Salaam na kutokuta chochote kilichokuwa kikifanyika kama sehemu ya maadhimisho hayo.
Licha ya kutokuta dalili yoyote ya maadhimisho hayo, nyumbani hapo kulikuwa na watoto waliokuwa wakifanya usafi.
Waandishi wetu...