Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZABUNI CHANZO UCHELEWESHJI WA MIRADI

  Na Stella Kalinga, Simiyu RSMkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) nchini Brigedia Jenerali Charles Mbuge  amesema kuwa baadhi ya wazabuni wanaouza vifaa vya ujenzi wamekuwa wakiuza vifaa kwa bei ya juu na kuchelewesha vifaa hivyo pale vinapohitajika, jambo linalopelekea baadhi ya miradi inayotekelezwa na Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi hilo (SUMA JKT) kutokamilika kwa wakati.
Brigedia Jenerali Mbuge ameyasema hayo Februari 13, 2020 mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara ya kukagua...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZABUNI WATAJWA KUCHANGIA UCHELEWESHAJI WA MIRADI

 Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa nchini Brigedia Jenerali Charles Mbuge akizungumza na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Simiyu na watendaji wa Jeshi  mara baada ya kukagua mradi wa Ujenzi wa wodi ya wazazi  unaendela katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu Mjini Bariadi, wakati wa ziara yake Mkoani humo Februari 13, 2020  yenye lengo la kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa na Shirika la Uzalishaji mali la JKT(SUMA JKT). Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka(wa pili kushoto)...

 

10 years ago

Michuzi

Miradi inayokopesheka chanzo cha kupata Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana — Riwa

Mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Ester Riwa katikati akizungumza na Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Monduli Bibi. Rose Mhina kulia kabla ya kukutana na vijana wa Kata ya Monduli juu na Kata ya Mfereji kutoa elimu ya ujasiriamali na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana leo katika Halmashauri ya Monduli Mkoa wa Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele.Mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Mbeya wadai kufilisika

MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...

 

10 years ago

Mwananchi

Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali

Chama cha Wazabuni Mbeya (Chawambe), kinakusudia kuiburuza mahakamani serikali ya mkoa kwa madai ya kushindwa kuwalipa wanachama wake wenye zabuni ya kusambaza vyakula na vifaa vingine serikalini.

 

11 years ago

Habarileo

DART yawatoa wasiwasi wazabuni

WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mwananchi

Wazabuni kugoma, kwenda kortini

Wazabuni wanaosambaza chakula katika taasisi za Serikali zikiwamo shule za sekondari na magereza mkoani hapa, wanatarajia  kugoma na kufungua kesi ya madai wakitaka kulipwa Sh2 bilioni wanazodai tangu mwaka 2008.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Songea wakumbushia deni lao

WAZABUNI wa vyakula katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameikumbusha serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa deni lao la zaidi ya sh bilioni moja lililotokana na kulisha katika shule za sekondari,...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazabuni walidai Jeshi la Polisi milioni 500/-

blWAZABUNI waliopewa tenda na Jeshi la Polisi ya kulisha jeshi hilo na vikosi vyake nchini, wamelalamikia hatua ya ofisi ya uhasibu Polisi Makao Makuu kushindwa kuwalipa zaidi ya Sh milioni 700 wanazodai tangu mwaka 2008.
Pamoja na hali hiyo wamepinga hatua ya Mhasibu Mkuu wa jeshi hilo, Frank Msaki ya kufanya malipo kwa upendeleo na hata kumtuhumu kuwa amekuwa akificha nyaraka za kumbukumbu za malipo za wazabuni hao.
Wakizungumza na MTANZANIA juzi wazabuni hao walisema hatua ya kushindwa...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi wa maeneo ya miradi ya maji watakiwa kutozembea kujadili maendeleo ya miradi

Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani