Wazabuni Songea wakumbushia deni lao
WAZABUNI wa vyakula katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameikumbusha serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa deni lao la zaidi ya sh bilioni moja lililotokana na kulisha katika shule za sekondari,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Kiroka wakumbushia ahadi ya JK
WANANCHI wa Kata ya Kiroka, wilayani Morogoro, wameanza kukumbwa na hofu ya kutotimizwa ahadi ya gari la wagonjwa aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete mwaka 2010. Wakizungumza kwa nyakati tofauti mbele ya...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Yanga wakumbushia ahadi za wabunge
10 years ago
Habarileo30 Aug
Wakumbushia ujenzi wa ofisi iliyochomwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeuomba uongozi wa CCM Taifa kuharakisha ujenzi wa jengo la ofisi ya chama hicho wilayani iliyoteketezwa kwa moto katika vurugu za Januari mwaka 2013 na kusababisha hasara kubwa kwa chama, mali za watu binafsi na halmashauri ya wilaya kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Kahama wakumbushia ahadi za mwekezaji
BAADHI ya wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama, Shinyanga unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mine Ltd. wameiomba serikali iwashinikize wawekezaji hao kutekeleza ahadi...
11 years ago
Habarileo05 Mar
DART yawatoa wasiwasi wazabuni
WAKALA wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) amewataka watu wanaotaka kuomba zabuni za kutoa huduma katika mradi huo wa mabasi, kuondoa wasiwasi kwa kuwa zabuni hizo zitatangazwa kwa uwazi. Kaimu Mtendaji Mkuu wa wakala huo, Asteria Mlambo aliwaambia hayo waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
Wazabuni Mbeya wadai kufilisika
MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wazabuni Mbeya kuishtaki Serikali
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZABUNI CHANZO UCHELEWESHJI WA MIRADI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJrPxG5T-cw/Xkam_Z-WanI/AAAAAAACynU/nmIBS-GZafMrAbA5Q3exBHsN9MxuY5UXACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Brigedia Jenerali Mbuge ameyasema hayo Februari 13, 2020 mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara ya kukagua...
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wazabuni kugoma, kwenda kortini