Wakumbushia ujenzi wa ofisi iliyochomwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeuomba uongozi wa CCM Taifa kuharakisha ujenzi wa jengo la ofisi ya chama hicho wilayani iliyoteketezwa kwa moto katika vurugu za Januari mwaka 2013 na kusababisha hasara kubwa kwa chama, mali za watu binafsi na halmashauri ya wilaya kwa ujumla.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Mar
Bakwata yapongezwa kwa ujenzi wa ofisi zake
BARAZA la Habari la Kiislamu Tanzania (BAHAKITA) limepongeza uendelezwaji wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(Bakwata) Makao Makuu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qWy8AcdeF-0/VAjSLfa62PI/AAAAAAACqCs/9x6sEV9oKiY/s72-c/unnamed.jpg)
NJOREFA WAKABIDHIWA MCHANGO WA MILIONI MOJA ZA UJENZI WA OFISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qWy8AcdeF-0/VAjSLfa62PI/AAAAAAACqCs/9x6sEV9oKiY/s1600/unnamed.jpg)
======== ========== ========Na James Festo, Njombe.
CHAMA chama cha mpira Mkoa wa Njombe kimepokea mchango wa bati, saruji na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tv6bblZXVEo/Xr11_PKr16I/AAAAAAALqPc/QZINf_I7LpsncJDEea2lTd0sRFBVPPyagCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589462861742.jpg)
SHILATU ASHIRIKI UJENZI OFISI YA KIJIJI WANANCHI WAFURAHIA
Akemea hujuma na tamaa ya posho
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ameshiriki pamoja na Wananchi kwenye ujenzi ofisi ya Kijiji cha Mwenge A kilichopo kata ya Kitama kwa kumwaga zege jamvi.
Gavana Shilatu alijumuika na Wananchi hao ambao walikuwa na kiu ya siku nyingi ya kupata ofisi ya Kijiji chao na hatimaye limewezekana kwa ushirikiano mkubwa wa Afisa Tarafa huyo.
Gavana Shilatu aliwasisitiza Wananchi kuwa Wazalendo na kuacha tamaa ili malengo ya mradi wa...
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Majaliwa atembelea NFRA na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Peramiho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa vazi la jadi la Wangoni baada ya kuwasili kwenye kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DopVEQSQ5aw/Xl-bdfdbRDI/AAAAAAAAkUo/Kgunq2nNj4wSUt4cr-Jso4C9xmnwgH1NgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
PINDA AFANIKISHA KUPATIKANA ZAIDI YA MIL. 40 UJENZI WA OFISI YA BAKWATA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DopVEQSQ5aw/Xl-bdfdbRDI/AAAAAAAAkUo/Kgunq2nNj4wSUt4cr-Jso4C9xmnwgH1NgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5AMGMLoY3Bw/Xl-bdbdbUrI/AAAAAAAAkUs/xYikUVvIKAcXTkVGHYD7ddgyzQcrZtgEgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jfs2RK2CGpE/Xl-bea9gKiI/AAAAAAAAkUw/QSKSZb7zHu86d1s0_Aq_YD7yXpT3QGsxgCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
Na Godwin Myovela, Singida.
WAZIRI Mkuu mstaafu Mizengo Pinda, jana aliongoza waislamu katika harambee ya kuchangia ujenzi wa ofisi ya Baraza la Kuu la Waislamu nchini (BAKWATA) inayotarajiwa kujengwa eneo la Ilongero, Wilaya ya Singida...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Kiroka wakumbushia ahadi ya JK
WANANCHI wa Kata ya Kiroka, wilayani Morogoro, wameanza kukumbwa na hofu ya kutotimizwa ahadi ya gari la wagonjwa aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete mwaka 2010. Wakizungumza kwa nyakati tofauti mbele ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Dkt. Mwinuka amtaka Mkandarasi kuongeza kasi ujenzi Ofisi za TANESCO Geita
![](https://1.bp.blogspot.com/-vdYBJAZL6Ow/XuN4ktGqaAI/AAAAAAALtkw/9dnVJOQV2-gEieHLq40qosxzK283uRSgQCLcBGAsYHQ/s640/445cb7bf-5803-4aad-9048-776eec3201ab.jpg)
Dkt. Mwinuka amesema ujenzi wa majengo hayo ni sehemu ya jitihada za Shirika kuhakikisha linaendesha shughuli zake katika majengo yake na hivyo kuepukana na gharama kubwa za upangishaji majengo kwa matumizi za ofisi...
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA NFRA NA UJENZI WA OFISI YA MKURUGEZI PERAMIHO