Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NJOREFA WAKABIDHIWA MCHANGO WA MILIONI MOJA ZA UJENZI WA OFISI.

Makabidhiano ya bati yaliyofanyika nje zinapojengwa ofisi za chama cha mpira  Mkoa wa Njombe ( Njolefa) kutoka kushoto ni  Mkurugenzi wa shirika la Tanwat Rajeev Singh, Edymund  Munubi afisa tawala wa Tanwat, Katibu wa Chama cha Mpira Mkoa wa Njombe  Steven Njowoka na wa Mwisho ni Afisa Utamaduni na michezo Mkoa wa Njombe Steven Sanga. Picha na James Festo.
   ======== ==========  ========Na James Festo, Njombe.

CHAMA  chama cha mpira  Mkoa wa Njombe kimepokea mchango  wa bati, saruji na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAWAZIRI WAKABIDHIWA OFISI


mah1Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akipokea nyaraka za Ofisi wakati akikabidhiwa Ofisi na Waziri aliyemaliza muda wake Dk. Binilith Mahenge Ofisini Mtaa wa Luthuli Dar es Salaam. mah2Naibu Waziri   Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akikabidhiwa nyaraka za Ofisi na Naibu Waziri aliyemaliza muda wake Mh. Stephen Masele . Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini jijini Dar es Salaam mah3Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa ...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248

 Mbunge  Filikunjombe akilitazama daraja la mbao la mto Kitewaka ambalo litajengwa  kisasa 
 Wannchi  wa  kijiji  cha Maholong'wa  wakimpongeza  mbunge  Filikunjombe kwa kutimiza ahadi yake…

 

10 years ago

GPL

WANAHABARI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU WAKABIDHIWA MILIONI 20

Kutoka kushoto ni, Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbalimbali, Benjamin Thompson , Adolf Simon Kivamwo, pamoja na Athuman Hamis.
Athuman Hamis aliyepatwa na matatizo ya ugonjwa akizungumza jambo kwenye mkutano huo. Mfano wa hundi…

 

10 years ago

Michuzi

MAOMBI YA MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI

Katika Maisha yetu Wanaadamu Ibada ni Jambo Muhimu saana. Uzuri , Usafi wa sehemu ya kuabudu ni Moja katika mambo mazuri yenye kupendeza katika kila Nafsi ya Binaadamu.
Katika Nyumba (Msikiti)  huu , Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala 5 kwa siku , Msikiti huu upo Mkoa wa Pwani , Wilaya ya Mkuranga , Kijiji cha Mlamleni Kitongoji cha Kimbangulile. 
Wenzetu wameanza kwa Nguvu zao  Ujenzi wa Msikiti kama Mnavyo uona.Jitihada nyengine wameweza kuwa na Matofali yasiyo pungua 300 kwa Ajili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Manzese wakabidhiwa Sh100 milioni kuboresha makazi yao

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akizungumza wakati wa kukabidhi hundi ya Sh100 milioni kwa wakazi wa Kata ya Manzese iliyotolewa na Benki ya Azania kupitia asasi ya Tanzania Financial Services for Underserved Settlement (TAFSUS), Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mkurugenzi wa bodi ya asasi hiyo, John Ulanga. Picha na Jennifer SumiDar es Salaam. Wakazi wa Kata ya Manzese na Mtaa wa Mvuleni, jijini hapa wamepokea zaidi ya Sh100 milioni kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

WAHITIMU 10 WAKABIDHIWA MILIONI 10 ZA WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Jenista Mhagama akitoa hotuba yake wakati wa Sherehe ya mahafali ya Sita katika Fani mbalimbali leo. Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Jenista Mhagama akiwa na Bodi ya Chuo pamoja Uongozi wa Chuo cha Ufundi Arusha katika picha ya pamoja na wanafunzi 10 waliojinyakulia kitita cha Sh. milioni 1 kila mmoja kutoka kwa Waziri Mkuu,Mizengo Pinda kwa kufanya vizuri katika masomo yao Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Jenista Mhagama...

 

9 years ago

Global Publishers

Waziri Makamba na Naibu Waziri Mpina Wakabidhiwa Ofisi

mah1Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa  Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akipokea nyaraka za  Ofisi wakati akikabidhiwa Ofisi na Waziri aliyemaliza muda wake Dk.  Binilith Mahenge Ofisini Mtaa wa Luthuli Dar es Salaam.mah2Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa  Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akikabidhiwa nyaraka za  Ofisi na Naibu Waziri aliyemaliza muda wake Mh. Stephen Masele .  Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini jijini Dar es Salaam.mah3Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa  Rais...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ATAMBUA MCHANGO WA TAASISI YA CUSHMAN NA WAKEFIELD ILIYOSAIDIA UJENZI WA SEKONDARI YA MIONO YA MKOANI PWANI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kushoto) akimkabidhi cheti Bwana Boris Van Haare Heijmeijer Meneja wa Ulaya wa taasisi ya Cushman na Wakefield cha kutambua mchango wa taasisi hiyo wa kusaidia ujenzi wa Sekondari ya Miono ya Mkoani Pwani. Taasisi hiyo imechangia Shilingi Bilioni 1.2 na imehaidi kuongeza Shilingi Milioni Mia Mbili. Balozi Kamala ameishukuru taasisi hiyo na ameiomba iendelee kusaidia shule hiyo.

 

10 years ago

GPL

FAIDA, HASARA ZA WAPENZI KUFANYA KAZI OFISI MOJA

Ni Ijumaa nyingine nzuri ninapokukaribisha msomaji wangu katika zulia jekundu la uwanja wetu huu ambao ni maalum kwa mambo yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Mada ambayo ningependa kujadiliana nawe msomaji wangu ni kama inavyojieleza kwenye kichwa cha habari. Yawezekana wewe ni mwanaume au mwanamke ambaye unafanya kazi na umpendaye, awe ni mke, mchumba au mpenzi. Je, kuna faida gani unazozipata kutokana na kufanya kazi ofisi moja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani