Waziri Makamba na Naibu Waziri Mpina Wakabidhiwa Ofisi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. January Makamba akipokea nyaraka za Ofisi wakati akikabidhiwa Ofisi na Waziri aliyemaliza muda wake Dk. Binilith Mahenge Ofisini Mtaa wa Luthuli Dar es Salaam.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina akikabidhiwa nyaraka za Ofisi na Naibu Waziri aliyemaliza muda wake Mh. Stephen Masele . Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI LUHANGA MPINA AKUTANA NA WATENDAJI WA NEMC
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira, Mheshimiwa Luhaga Mpina (aliyekaa mbele), akizungumza na baadhi ya watendaji wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakati alipotembelea kwa mara ya kwanza Makao Makuu ya Ofisi ya Baraza hilo jijini Dar es Salaam leo.
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU (WATU WENYE ULEMAVU) ATEMBELEA KITUO CHA NUNGE, KIGAMBONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-URX3QDacBqg/Var_bSSHA8I/AAAAAAADyf0/1pjkwAynmj8/s72-c/makamba.jpg)
Naibu Waziri January Makamba amemtolea
![](http://2.bp.blogspot.com/-URX3QDacBqg/Var_bSSHA8I/AAAAAAADyf0/1pjkwAynmj8/s640/makamba.jpg)
Naibu Waziri January Makamba amemtoleauvivu mshauri wa zamani wa Siasa wa Rais Jakaya Kikwete, KingungeNgombale-Mwiru kwa kuupinga mchakato wa uteuzi wa mgombea wa Urais kwatiketi ya CCM na kusema anakivuruga chama.Kingunge kumpigania mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu wa zamani EdwardLowassa, amekuwa akitoa matamko mbalimbali kuhusiana na mchakato huoakisema haukutenda haki hasa baada ya kuenguliwa jina la Lowassaambapo baada ya mchujo wa majina likapatikana jina la mgombea mmoja,Dk John...
9 years ago
MichuziWafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais wawakaribisha rasmi Mh. Makamba na Mh. Luhaga Mpina leo
10 years ago
Mwananchi29 Apr
January Makamba: Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-T4-dnCU6sII/VIgyfwD5B5I/AAAAAAAG2VI/rT2TqWdichM/s1600/1.jpg)
10 years ago
GPLNaibu Waziri Mhe. January Makamba azindua Kundi la Kaone Sanaa Group Dar Live