Kahama wakumbushia ahadi za mwekezaji
BAADHI ya wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama, Shinyanga unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mine Ltd. wameiomba serikali iwashinikize wawekezaji hao kutekeleza ahadi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Kiroka wakumbushia ahadi ya JK
WANANCHI wa Kata ya Kiroka, wilayani Morogoro, wameanza kukumbwa na hofu ya kutotimizwa ahadi ya gari la wagonjwa aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete mwaka 2010. Wakizungumza kwa nyakati tofauti mbele ya...
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Yanga wakumbushia ahadi za wabunge
10 years ago
Habarileo30 Aug
Wakumbushia ujenzi wa ofisi iliyochomwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeuomba uongozi wa CCM Taifa kuharakisha ujenzi wa jengo la ofisi ya chama hicho wilayani iliyoteketezwa kwa moto katika vurugu za Januari mwaka 2013 na kusababisha hasara kubwa kwa chama, mali za watu binafsi na halmashauri ya wilaya kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Wazabuni Songea wakumbushia deni lao
WAZABUNI wa vyakula katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea, wameikumbusha serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa deni lao la zaidi ya sh bilioni moja lililotokana na kulisha katika shule za sekondari,...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
10 years ago
Habarileo03 Oct
Mwekezaji amshukuru RC
MWEKEZAJI wa Shamba la Tanzania Plantation, Pradeep Lodhia ameishukuru Serikali kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo kwa kutoa maamuzi ya kuwa anamiliki shamba kihalali na si kama ilivyodaiwa awali kuwa shamba hilo ni mali ya Serikali.
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Watakiwa kumpisha mwekezaji
WANANCHI waliovamia eneo la Nyantorotoro Kata ya Kalangalala Wilaya ya Geita mkoani hapa wametakiwa kuondoka mara moja ili kumpisha mwekezaji mwenye leseni kuendeleza shughuli zake za kuponda kokoto. Agizo hilo...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
DC Tunduru ampongeza mwekezaji
MKUU wa Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Chande Nalicho, amempongeza Mwekezaji wa nyumba ya kulala wageni ya Peramiho, Faustin Chale kwa uwekezaji alioufanya wilayani hapo. Alisema ujasiri wa mwekezaji huyo...