Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga wakumbushia ahadi za wabunge

Uongozi wa Yanga umewata wabunge  wanachama wa klabu hiyo kulipa ahadi zao walizotoa wakati timu hiyo ilipotwaa ubingwa wa Kombe la Kagame.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kiroka wakumbushia ahadi ya JK

WANANCHI wa Kata ya Kiroka, wilayani Morogoro, wameanza kukumbwa na hofu ya kutotimizwa ahadi ya gari la wagonjwa aliyoitoa Rais Jakaya Kikwete mwaka 2010. Wakizungumza kwa nyakati tofauti mbele ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kahama wakumbushia ahadi za mwekezaji

BAADHI ya wakazi wa vijiji vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama, Shinyanga unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mine Ltd. wameiomba serikali iwashinikize wawekezaji hao kutekeleza ahadi...

 

9 years ago

Mwananchi

Wabunge walilia ahadi za Dk Magufuli

Wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wamesema wanatarajia Rais Mteule Dk John Magufuli atafanya mabadiliko kiutendaji, kuimarisha Muungano, huku wengi wakitarajia kutekelezwa kwa ahadi alizotoa wakati wa kampeni.

 

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

10 years ago

Mwananchi

‘Presha’ ya uchaguzi, ahadi zawatorosha wabunge Dodoma

Baadhi ya wabunge wamesema kukosekana bungeni kwa wenzao wanaofikia 200 hata kuhesabiwa ni watoro, kumetokana na wengi wao kutokamilisha ahadi kwa wapigakura wao walizotoa mwaka 2010, hivyo kulazimika kukimbilia majimboni ili kujaribu kuzikamilisha.

 

10 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO

Mbunge  Filikunjombe  akisisitiza  jambo  wakati  akitoa  salamu  zake kwenye  mazishi ya SR. Instrude mariaKatibu mwenezi wa CCM mkoa  wa  Njombe Bw Honolatus Mgaya kushoto  na  mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe  kulia  wakishirikiana na wananchi  wa  Njombe  kubeba jeneza na SR. Maria.  Mbunge  Filikunjombe katika usikivu mkubwa
 Na Matukiodaima BLoG
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewaomba viongozi wa dini nchini kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakiwemo wabunge ili...

 

10 years ago

GPL

FILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO‏

Mbunge  wa  Ludewa  Deo  Filikunjombe  akiteta  jambo na askofu  wa kanisa  Katoliki  jimbo la Njombe Mhashamu Alfred  Maluma Mbunge  Filikunjombe  akisisitiza  jambo  wakati  akitoa  salamu  zake kwenye  mazishi ya SR. Instrude maria
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewaomba viongozi wa dini nchini
kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakiwemo wabunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Njovu hii ndiyo Yanga ya ahadi kebekebe

Katikati ya wiki iliyopita, Klabu ya Yanga ilimtangaza Beno Njovu kuwa Katibu Mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Lawrance Mwalusako. Hongera Njovu kwa uteuzi huo.

 

10 years ago

Habarileo

Wakumbushia ujenzi wa ofisi iliyochomwa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Masasi kimeuomba uongozi wa CCM Taifa kuharakisha ujenzi wa jengo la ofisi ya chama hicho wilayani iliyoteketezwa kwa moto katika vurugu za Januari mwaka 2013 na kusababisha hasara kubwa kwa chama, mali za watu binafsi na halmashauri ya wilaya kwa ujumla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani