YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Wabunge wa Yanga waisambaratisha Simba Tamasha la Matumaini 2014
Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo.
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa Yanga.
Mwigulu Nchemba akiwarushia skafu yake mashabiki wa Yanga.
Ridhiwan Kikwete akishangilia ushindi wa Yanga dhidi ya Simba.
Hekaheka wakati wa mtanange huo.
Mashabiki wakifuatilia mtanange huo.
Timu zikiingia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppASPWOAmhUAX5f9HVFuews6oBtVpDgFsxvyVxkXtK4kBJpyAT3IEzhtq20vzKESxQnL2gkvBlJtzONZDtpgJqRl/222.jpg?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUONESHANA KAZI
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
Tamasha la usiku wa matumaini 2014 Wabunge Simba na Yanga full kukanyagana wwanja wa Taifa
Makala na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.
Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha kukutana katika uwanja kuonyeshana umwamba kwa kusakata gozi la ng’ombe katika mchezo huu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XggU-rai6S139sT1PrtRCfSqrlnd45aIbxUdl78SQpeOiNnvoLy*2gQUasvYXVu3I6ahyaTdEWz2tS979QuFUavo/89risasijumamosi.gif?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014: WABUNGE KUTWANGANA ‘LIVE’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k4u8awuVyxq-LuUkmkeMcGgfy6*J79glFJmv2TK7gfK5iJAij3KjsLMMiHKp8xx89YzsfIxdX0cI2-eo7qXcVZ5/matumaini.jpg?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NDONDI... HAPA WABUNGE PALE BONGO MOVIE
11 years ago
GPLTAMASHA LA MATUMAINI 2014… WABUNGE GANI KUZIPIGA MWAKA HUU?
11 years ago
GPLWABUNGE WA SIMBA, YANGA WAPONGEZANA