WABUNGE WA SIMBA, YANGA WAPONGEZANA
Mwenyekiti wa Bunge Sports na Mbunge wa Kinondoni, Idd Azzan (aliyesimama) akizungumza jambo kwenye hafla hiyo. Waheshimiwa wabunge na watumishi wa bunge wakifuatilia mkutano. Wahariri wa Global Publishers…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLYANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-zf7PzEOOWJFQNcIIcy4579L6*L5Vh5-tfTFf-xlmIuURuvIhvM9NoPMqsI-36mubJW0aNqQ9a61zL8-oSxM*tb/yanganasimba.jpg?width=650)
MECHI YA WABUNGE: YANGA 1, SIMBA 1
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Wabunge wa Yanga waisambaratisha Simba Tamasha la Matumaini 2014
Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo.
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa Yanga.
Mwigulu Nchemba akiwarushia skafu yake mashabiki wa Yanga.
Ridhiwan Kikwete akishangilia ushindi wa Yanga dhidi ya Simba.
Hekaheka wakati wa mtanange huo.
Mashabiki wakifuatilia mtanange huo.
Timu zikiingia...
11 years ago
MichuziWABUNGE MASHABIKI WA YANGA WAONYESHANA UBABE NA WENZAO WA SIMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppASPWOAmhUAX5f9HVFuews6oBtVpDgFsxvyVxkXtK4kBJpyAT3IEzhtq20vzKESxQnL2gkvBlJtzONZDtpgJqRl/222.jpg?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUONESHANA KAZI
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHIvfwhnF6BX9UQREkR50iUJnDEsNhuK9LbPHLaf50XRG2VoNPswCGPVjlIn*12m*KJUQIYGUAOpQhImOm5-33c/koko.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
Tamasha la usiku wa matumaini 2014 Wabunge Simba na Yanga full kukanyagana wwanja wa Taifa
Makala na Nassor Gallu
SIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.
Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Hebu jaribu kuvuta picha katika ubongo wako, waheshimiwa wabunge watakapoweka kando masuala ya ‘Ukawa’ na ‘Tanzania Kwanza’, kisha kukutana katika uwanja kuonyeshana umwamba kwa kusakata gozi la ng’ombe katika mchezo huu wa...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...