Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO‏

Mbunge  wa  Ludewa  Deo  Filikunjombe  akiteta  jambo na askofu  wa kanisa  Katoliki  jimbo la Njombe Mhashamu Alfred  Maluma Mbunge  Filikunjombe  akisisitiza  jambo  wakati  akitoa  salamu  zake kwenye  mazishi ya SR. Instrude maria
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewaomba viongozi wa dini nchini
kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakiwemo wabunge...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO

Mbunge  Filikunjombe  akisisitiza  jambo  wakati  akitoa  salamu  zake kwenye  mazishi ya SR. Instrude mariaKatibu mwenezi wa CCM mkoa  wa  Njombe Bw Honolatus Mgaya kushoto  na  mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe  kulia  wakishirikiana na wananchi  wa  Njombe  kubeba jeneza na SR. Maria.  Mbunge  Filikunjombe katika usikivu mkubwa
 Na Matukiodaima BLoG
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewaomba viongozi wa dini nchini kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakiwemo wabunge ili...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU‏

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama. Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa...

 

10 years ago

StarTV

Viongozi CUF waaswa kutekeleza ahadi zao.

Na Abdalla Pandu,

Zanzibar.

 

Katibu mkuu wa Chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamadi amewataka viongozi wa chama hicho kujenga utamaduni wa kutekeleza ahadi wanazotoa na kuacha tabia ya kuahidi mambo wasiyoyaweza kuyatekeleza kwani ndio chanzo cha migogoro kati yao na wananchi.

Anasema viongozi hutumia fursa za kampeni za kutaka uongozi kwa kutoa ahadi nyingi ambazo wanashindwa kuzitekeleza ipasavyo hali inayochangia wananchi kutokuwa na imani na viongozi hao.

loans online sc ...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Bariadi waaswa kuvumilia viongozi waliowachagua katika kutekeleza ahadi zao.

 

Wakazi wa wilayani Bariadi mkoani Simiyu waaswa kuwa na subira katika utekelezaji wa ahadi za viongozi waliochaguliwa kwa sababu haziwezi kutekelezwa kwa wakati mmoja bali kwa mpangilio maalumu na kuzingatia vipaumbele vya wananchi.

Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilayani Bariadi Bi.  Juliana Mahongo katika kikao wadau wa maendeleo kilicholenga kumpongeza Rais John Pombe Magufuri kwa ushindi.

Bi. Mahongo amesema anaimani kubwa na viongozi waliochaguliwa kupitia...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ataka viongozi wa dini kuombea taifa amani

Makamu wa Rais, Dk Ghalib BilalMAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Bilal amewataka viongozi na waumini wa dini zote nchini, kuombea taifa ili Uchaguzi Mkuu na kura ya maoni kwa ajili ya Kkatiba Inayopendekezwa zimalizike kwa amani na utulivu.

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu ataka viongozi wa dini waache upambe kwa wagombea

Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evengalist, Arumeru – Arusha, Elihudi Isangya amewataka viongozi wa dini nchini, kuviachia vyama vya siasa kuwateua wagombea wao wa urais katika Uchaguzi Mkuu ujao badala ya kuwa wasemaji wa wanasiasa.

 

11 years ago

GPL

DEO FILIKUNJOMBE AANDAA SEMINA KWA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA LUDEWA‏

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai akifungua semina ya Wenyeviti, Makatibu na Makatibu Wenezi wa CCM wilaya ya Ludewa. Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ludewa, Ndugu Stanley Kolimba akimkaribisha Naibu…

 

11 years ago

GPL

MO ATAKA MADHEBEBU YA DINI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI ILI KULETA MAENDELEO ENDELEVU‏

Mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na waumini wa Msikiti wa kijiji cha Mtamaa wakati wa ziara yake ya siku tatu jimbo kwake. Mbunge MO akijumuika na waumini wa Kanisa la FPCT kutoa burudani wakati wa ziara ya MO. Na Nathaniel Limu, Singida MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohammed Gulam Dewji amewahimiza… ...

 

5 years ago

Michuzi

MADEREVA BODABODA KARATU WATAKIWA KUACHA MABINTI WASOME, WATIMIZE NDOTO ZAO


Na Woinde Shizza,KARATU

MADEREVA bodaboda wametakiwa  kujali mabinti, kwa kuwaacha wasome ili watimize ndoto zao  na si kuwalaghai kwa kuwapa lifti pamoja na  chipsi kwa wanapofanya hivyo wanawaharibia ndoto zao .

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Theresia Mahongo alipokuwa akihutubia katika mdahalo juu ya kupinga ukatili wa kijinsia katika uwanja wa Mnadani wilayani Karatu,mdahalo ulioandaliwa Shirika la World Education Initiative (WEI) Bantwana; waache wasome ambalo lipo chini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani