MADEREVA BODABODA KARATU WATAKIWA KUACHA MABINTI WASOME, WATIMIZE NDOTO ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fYfFlYyWJ78/Xmey9N_Q76I/AAAAAAALie4/OvY-1_C0c40YczbRSUou36U5jJTL15T4ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0002.jpg)
Na Woinde Shizza,KARATU
MADEREVA bodaboda wametakiwa kujali mabinti, kwa kuwaacha wasome ili watimize ndoto zao na si kuwalaghai kwa kuwapa lifti pamoja na chipsi kwa wanapofanya hivyo wanawaharibia ndoto zao .
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Theresia Mahongo alipokuwa akihutubia katika mdahalo juu ya kupinga ukatili wa kijinsia katika uwanja wa Mnadani wilayani Karatu,mdahalo ulioandaliwa Shirika la World Education Initiative (WEI) Bantwana; waache wasome ambalo lipo chini ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Dec
Madereva watakiwa kuacha kulewa
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria za barabarani, kutotumia vinywaji vyenye kilevi na kuacha tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (sms) wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
10 years ago
MichuziFILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO
Na Matukiodaima BLoG
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewaomba viongozi wa dini nchini kuendelea kuwaombea viongozi wa serikali wakiwemo wabunge ili...
10 years ago
GPLFILIKUNJOMBE ATAKA VIONGOZI WA DINI KUWAOMBEA WABUNGE WATIMIZE AHADI ZAO
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aT2d39R-l2k/VJLhiDmEblI/AAAAAAAG4Ng/nARpqteTzJY/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya NBC yakabidhi bodaboda kwa mshindi wa Weka Upewe Karatu
![](http://1.bp.blogspot.com/-aT2d39R-l2k/VJLhiDmEblI/AAAAAAAG4Ng/nARpqteTzJY/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwtcoua8cnQmK5EO*YOGmAJM-FbeUq148ZNoU-3RH79XDEA8wALIOY9m8ZKLqJATNOMBK4pYqJG2*FQG6ThBZhy/madereva.jpg?width=650)
‘MADEREVA MNATUKATISHIA NDOTO ZA MAISHA’
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Madereva 15 wa bodaboda mbaroni
11 years ago
Habarileo04 Apr
Madereva 18 wa bodaboda kortini
MADEREVA 18 wa pikipiki maarufu kama bodaboda, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kupakia abiria bila leseni ya usafirishaji.
10 years ago
Mwananchi21 Sep
RC awavaa madereva bodaboda