‘MADEREVA MNATUKATISHIA NDOTO ZA MAISHA’
![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwtcoua8cnQmK5EO*YOGmAJM-FbeUq148ZNoU-3RH79XDEA8wALIOY9m8ZKLqJATNOMBK4pYqJG2*FQG6ThBZhy/madereva.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ HUJAFA hujaumbika. Kijana Mtaana White Lupola mwenye umri wa miaka 38, (pichani) ambaye ndoto zake zilikuwa ni kuwa tajiri kutokana na biashara ndogondogo aliyokuwa akifanya, hivi sasa ni mlemavu baada ya kukatika miguu yake kutokana na ajali mbaya ya gari. White Lupola akiwa na huzuni. Lupola, mkazi wa Kijiji cha Ngunga, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, alikuwa akijishughulisha na biashara lakini...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fYfFlYyWJ78/Xmey9N_Q76I/AAAAAAALie4/OvY-1_C0c40YczbRSUou36U5jJTL15T4ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0002.jpg)
MADEREVA BODABODA KARATU WATAKIWA KUACHA MABINTI WASOME, WATIMIZE NDOTO ZAO
Na Woinde Shizza,KARATU
MADEREVA bodaboda wametakiwa kujali mabinti, kwa kuwaacha wasome ili watimize ndoto zao na si kuwalaghai kwa kuwapa lifti pamoja na chipsi kwa wanapofanya hivyo wanawaharibia ndoto zao .
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Theresia Mahongo alipokuwa akihutubia katika mdahalo juu ya kupinga ukatili wa kijinsia katika uwanja wa Mnadani wilayani Karatu,mdahalo ulioandaliwa Shirika la World Education Initiative (WEI) Bantwana; waache wasome ambalo lipo chini ya...
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato
10 years ago
Vijimambo10 Jan
ACHENI KIJA WAWATU MAISHA YA MWENDEE SAFI KWANI ALIKUWA NA NDOTO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-OFA-8VZ9ePI%2FVLAwF-bILQI%2FAAAAAAADVIM%2FsW1MXzN-Hrc%2Fs1600%2F10304778_958595114169879_5065096107836914557_n.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Habarileo24 Dec
Madereva waaswa, ulevi ni hatari kwa maisha yao
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria, kutotumia vinywaji vyenye ulevi na kuacha tabia ya kuongea na simu kwa kutuma au kupokea ujumbe wa maneno wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
PSPF watoa elimu kwa madereva taxi wa wilaya ya Ilala na madereva kujiunga na mpango wa hiari
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma akitoa maelezo ya kina kuhusu faida na huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujionga alipokuwa akiongea na madereva wa taxi wa wilaya Ilala jijini Dar
Mkuu wa Kitengo Cha Elimu wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu, Abel Swai akizungumza na madereva wa taxi wa wilaya ya Ilala(Hawapo pichani) kuhusu kutii sheria za barabarani na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
VijimamboMFUKO WA PENSHENI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI
10 years ago
MichuziMFUKO WA PESHNI WA PSPF WATOA ELIMU KWA MADEREVA TAXI WA WILAYA YA ILALA NA MADEREVA KUJIUNGA NA MPANGO WA HIARI