ACHENI KIJA WAWATU MAISHA YA MWENDEE SAFI KWANI ALIKUWA NA NDOTO
siku moja wakati Naseeb hajatoka alikuwa golini anauza mitumba akapita Kiba alitamani siku moja awe kama Kiba au Blue. Now ndoto yake imetimia, hii yote sababu yakujituma.Nakumbuka kuna siku Tuddy Thomas aliniambia Chibu alipiga mazoezi studio mpaka sa tisa usiku mpk akapitiwa na usingizi,kwanini asifanikiwe? Ukiniuliza nani zaidi ntasema wote, Kiba ni mkali sana kwa utunzi na vokal akiimba live kwa steji & Chibu na dancer wake wanatifua steji na ni mtunzi na anachana pia ....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Aug
MAENDELEO: Ndoto ya maji safi Mweteni sasa yatimia
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6JiyTOpZpY0/VCWoYysYulI/AAAAAAAABjo/bISGPwK9N5s/s72-c/DEAD%2BBEAT1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwtcoua8cnQmK5EO*YOGmAJM-FbeUq148ZNoU-3RH79XDEA8wALIOY9m8ZKLqJATNOMBK4pYqJG2*FQG6ThBZhy/madereva.jpg?width=650)
‘MADEREVA MNATUKATISHIA NDOTO ZA MAISHA’
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato
9 years ago
Bongo513 Oct
Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?
UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa wanafanana.
“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”
Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLnweJSD6GJFOfcpyN8ZhYDXRPNEm-4fi7SRJP2rug3TF1pcfeG6Hq8gVzYVQARiYWZ0XG1k7aTrPhJ23J1Xw1T/MAMAWEMA.jpg)
TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Kinana, kwa nini? Kwani kunani?
NIMEKUWA nikiyasoma, tena na tena, makala ya Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapindu
Ahmed Rajab