Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACHENI KIJA WAWATU MAISHA YA MWENDEE SAFI KWANI ALIKUWA NA NDOTO

siku moja wakati Naseeb hajatoka alikuwa golini anauza mitumba akapita Kiba alitamani siku moja awe kama Kiba au Blue. Now ndoto yake imetimia, hii yote sababu yakujituma.Nakumbuka kuna siku Tuddy Thomas aliniambia Chibu alipiga mazoezi studio mpaka sa tisa usiku mpk akapitiwa na usingizi,kwanini asifanikiwe? Ukiniuliza nani zaidi ntasema wote, Kiba ni mkali sana kwa utunzi na vokal akiimba live kwa steji & Chibu na dancer wake wanatifua steji na ni mtunzi na anachana pia ....

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAENDELEO: Ndoto ya maji safi Mweteni sasa yatimia

>Hatimaye ndoto ya wananchi wa kijiji cha Mweteni, Kata ya Bwambo wilayani hapa ya kupata huduma ya maji safi na salama, imetimia.

 

10 years ago

Vijimambo

MAISHA KUSAIDIANA KIROHO SAFI

Mambo ya usawa ndiyo haya ukipenda boga

 

11 years ago

GPL

‘MADEREVA MNATUKATISHIA NDOTO ZA MAISHA’

Stori: Makongoro Oging’ HUJAFA hujaumbika. Kijana Mtaana White Lupola mwenye umri wa miaka 38, (pichani) ambaye ndoto zake zilikuwa ni kuwa tajiri kutokana na biashara ndogondogo aliyokuwa akifanya, hivi sasa ni mlemavu baada ya kukatika miguu yake kutokana na ajali mbaya ya gari. White Lupola akiwa na huzuni. Lupola, mkazi wa Kijiji cha Ngunga, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, alikuwa akijishughulisha na biashara lakini...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu awataka vijana kuacha ndoto za maisha ya mkato

>Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe amewataka vijana nchini, kuhakikisha wanapata elimu bora itakayowawezesha kufanikisha ndoto zao kwa njia zisizo za mashaka.

 

9 years ago

Bongo5

Izzo Bizness: Mangwair alikuwa ‘genius’, alikuwa na uwezo wa kuandika na kumaliza kurekodi album nzima siku moja

Albert Mangwair alikuwa ni rapper genius, kwa mujibu wa Izzo Bizness. Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Izzo amesema alifahamiana na Ngwair tangu yuko Mbeya kabla ya kuja kumshirikisha kwenye ngoma yake ‘Ball Player’ wakiwa na Quick Rocka. “Ngwair ni mtu ambaye nilisema angeamua, angekuja kuvunja historia ya muziki labda Tanzania,” anasema Izzo. “Alikuwa […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Bongo Movies

MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?

UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu  hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa  wanafanana.

“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”

Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...

 

10 years ago

GPL

TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?

INAUMA kidogo kuandika kuhusu mtu ambaye umefanya naye kazi kwa karibu kwa kipindi kirefu, anapoendelea kuripotiwa kufanya matukio yanayotofautiana na nafasi yake katika jamii. Na inauma zaidi, vitendo hivyo vinavyoripotiwa kufanywa naye, mwisho wa siku vinaweza kumfanya akajikuta yupo chini ya vyombo vya sheria. Hapa ninamzungumzia Khalid Mohamed, yule kijana wa Kinondoni, jijini Dar es Salaam anayefahamika zaidi kwa jina la...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kinana, kwa nini? Kwani kunani?

NIMEKUWA nikiyasoma, tena na tena, makala ya Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapindu

Ahmed Rajab

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani