MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?
UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa wanafanana.
“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”
Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Nov
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?
![](http://api.ning.com/files/DmFIhqID0Fr7QwxJYVDTSE6eDxAATZjPwRH63Qx3N8St4aUmv2QOswC4GpCPpxWZbpcbs9Ogt-8blGVXnPjS-mfTAtb1IIJ-/couples.jpg?width=650)
Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha yenye furaha.
Ukweli ni kwamba, kila mtu anao uhuru wa kupenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FpZPAQ2WI85-YmvgneV*XnYrO39FEqY1X*pB7-HjEEiGlVU6p3hFgWBx-RxvnEufXIlhanwgJCPi6nQ3hxMUtxJ/Love.jpg?width=650)
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfA8WkPZCi6P8Gy8W5yMPdOPlAv3wyr3RHGIiN8BjfGSEAm9sIbHwV81GITVms-BC6n4MHSlkF3CmjI7Yo3ReLEy/Loves..jpg)
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’, KWANI YEYE NI ‘OKSIJENI’?
10 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLnweJSD6GJFOfcpyN8ZhYDXRPNEm-4fi7SRJP2rug3TF1pcfeG6Hq8gVzYVQARiYWZ0XG1k7aTrPhJ23J1Xw1T/MAMAWEMA.jpg)
TID, KWANI WEWE NI MNYAMA KWELI?
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Kinana, kwa nini? Kwani kunani?
NIMEKUWA nikiyasoma, tena na tena, makala ya Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapindu
Ahmed Rajab
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Kwani dhambi 2015 tukijitoe michezo yote?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEJez7HIeWyP7iLLAw32bT1OJ-i9dR2N0KgFtgXi6eqqQnxtwuC0705HcdxIntrb0qKqCGR95VXGJtw2Lx-pf-Nx/IMG20131113WA0001.jpg?width=650)
DIDA NIGOMBEE BWANA, KWANI WANAUME WAMEISHA?
9 years ago
Bongo517 Sep
Music: Dully Sykes — Kwani wewe ni Nani?