Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa!

Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha yenye furaha.
Ukweli ni kwamba, kila mtu anao uhuru wa kupenda...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha...

 

10 years ago

GPL

ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’, KWANI YEYE NI ‘OKSIJENI’?

Hakuna shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi...

 

10 years ago

GPL

SAJENT; ETI SASA VIMINI PEMBENI, SWALA NA YEYE!

Kama kawa, kama dawa leo kupitia safu hii tunaye mwanadada muigizaji Husna Idd ‘Sajent’. Wengi wanataka kujua siri ya ukimya wake hivyo mwandishi wetu Hamida Hassan alimtafuta na kumpiga maswali 10 kama ifuatavyo. Mwanadada muigizaji Husna Idd ‘Sajent’. Ijumaa: Husna, siku hizi huonekani kabisa kwenye anga za starehe, ni kwa nini? Au ndo tuseme umefulia?
Sajent: Sajent wa sasa si yule watu...

 

10 years ago

Bongo Movies

MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?

UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu  hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa  wanafanana.

“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”

Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...

 

9 years ago

Bongo5

Diego Costa asema yeye si malaika

Mchezaji wa Chelsea Diego Costa ameeleza anajua kwamba yeye “si malaika” pindi anapo kuwa uwanjani na kwamba hatabadilisha mtindo wake wa uchezaji soka. Costa amepigwa marufuku mechi tatu mara mbili mwaka huu, mara ya kwanza kwa kumkanyaga mchezaji wa Liverpool Emre Can na mara ya pili kwa kumsukuma difenda wa Arsenal Laurent Koscielny. “Nimefika mbali […]

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ndugai akanusha uvumi wa yeye kuugua



NA MOHAMMED ISSABAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu na kutoonekana kwenye shughuli mbalimbali, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai ameibuka na kusema yupo hai na ni mzima wa afya. JOB NdugaiNdugai ambaye tokea kuanza kwa mkutano wa 18 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano la Tanzania alikuwa hajaongoza kikao chochote. Muda mwingi katika kikao hicho, kilikuwa kikitumia wenyeviti wakati Spika, Anne Makinda, anapokuwa hayupo bungeni. Akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu jana, Ndugai (Kongwa-CCM),...

 

11 years ago

GPL

JIFUNZE KUSAMEHE YEYE SIYO MALAIKA

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa kabisa, ni siku nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja huu kujuzana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi, hususan wachumba au wanandoa. Kabla sijaanza kuijadili mada yetu ya hapo juu kama inavyojieleza, ningependa nikupe mfano mdogo kuhusu watoto mapacha. Sote tunawajua watoto mapacha. Hawa huanza kuwa pamoja kuanzia wakiwa kwenye tumbo la mama yao. Huzaliwa siku...

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli asema yeye ndiye mshindi

mtz1FINALNA BAKARI KIMWANGA, CHALINZE

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema anajua yeye ndiye rais wa awamu ya tano na Watanzania wameshamhakikishia watamchagua keshokutwa wakati wa kupiga kura.

Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, anajua Watanzania wamechoshwa na ahadi za uongo, na kwamba sasa wanahitaji ahadi za vitendo.
Dk. Magufuli aliyasema hayo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika Chalinze, Mkoa wa Pwani.
“Watu wamechoshwa na ahadi za uongo na wanahitaji...

 

11 years ago

GPL

SNURA ASEMA YEYE SIYO MSHIRIKINA KABISA

Na  Erick Evarist
MAMA Majanga, Snura Mushi amefunguka kuwa katika maisha yake, hahusudu masuala ya kishirikina. Snura Mushi 'Mamaa Majanga ' . Akizungumza na paparazi wetu baada ya kuvuja kwa picha zilizomuonesha akiwa kwa mganga, Snura alisema hazikuwa kwa mganga wa kweli kwani yeye haamani mambo ya kishirikina. “Mimi na ushirikina ni vitu viwili tofauti, namtegemea zaidi Mungu katika maisha yangu, hata hizo picha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani