JIFUNZE KUSAMEHE YEYE SIYO MALAIKA
![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmESX546Gfc*6j9wKoIYaV68sCM5r8-cSbEFXRrzk-CZQFfgE3835oYVMnfgAausQpgxFYHCJjv1HjxeeVVRe0Z/mahaba.jpg)
Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa kabisa, ni siku nyingine nzuri tunapokutana katika uwanja huu kujuzana mambo mbalimbali yanayohusu uhusiano wa kimapenzi, hususan wachumba au wanandoa. Kabla sijaanza kuijadili mada yetu ya hapo juu kama inavyojieleza, ningependa nikupe mfano mdogo kuhusu watoto mapacha. Sote tunawajua watoto mapacha. Hawa huanza kuwa pamoja kuanzia wakiwa kwenye tumbo la mama yao. Huzaliwa siku...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo524 Oct
Diego Costa asema yeye si malaika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIy7tJW0pRyRbAIOkMJdOiCpCuRGuu2Pu7dIutL5lEnwGTe5NV6VQidsIqExJf0dRbDYTZYIlKlC*L8rFENCICO/snura.jpg?width=650)
SNURA ASEMA YEYE SIYO MSHIRIKINA KABISA
11 years ago
Michuzi09 Feb
MALAIKA NAKUPENDA MALAIKA...sings dr schaeffer as he leaves bukoba
10 years ago
Vijimambo27 Nov
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?
![](http://api.ning.com/files/DmFIhqID0Fr7QwxJYVDTSE6eDxAATZjPwRH63Qx3N8St4aUmv2QOswC4GpCPpxWZbpcbs9Ogt-8blGVXnPjS-mfTAtb1IIJ-/couples.jpg?width=650)
Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi maisha ya huzuni wakati tunayo haki ya kuishi maisha yenye furaha.
Ukweli ni kwamba, kila mtu anao uhuru wa kupenda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FpZPAQ2WI85-YmvgneV*XnYrO39FEqY1X*pB7-HjEEiGlVU6p3hFgWBx-RxvnEufXIlhanwgJCPi6nQ3hxMUtxJ/Love.jpg?width=650)
ETI ‘SIWEZI KUISHI BILA YEYE’ KWANI YEYE NANI?
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
9 years ago
Habarileo10 Dec
JK: Sijawahi kusamehe kodi makontena
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete amesema katika uongozi wake wa miaka 10, hakuwahi kuagiza mtu asamehewe kontena lake lisilipe kodi na angefanya hivyo, mapato ya Serikali yasingeongezeka kutoka Sh bilioni 177 kwa mwezi mpaka Sh bilioni 900.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Nilitamani kusamehe kama Madiba-Nyerere
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Nchimbi: Mungu nipe moyo wa kusamehe
SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi kuvuliwa wadhifa wake kwa tuhuma za kushindwa kusimamia wizara yake, kiongozi huyo ametaka apewe moyo wa upendo...