Nilitamani kusamehe kama Madiba-Nyerere
Mwigizaji Steve Nyerere, ameonyesha masikitiko yake kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela (Madiba), akieleza kuwa bado alikuwa akihitaji kujifunza kutoka kwake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Hajatokea kama Mwalimu Nyerere
11 years ago
GPLKAMA NINGEKUWA STEVE NYERERE NINGE…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3Ht48tPv0pZhQCnB*s8R5hnosO*LixDEi-4fXuBaTABg2aqz4K*DEaSSHrTKjmEwHrLyMIPd3y7DKU6OP2jaIk/SANDRA.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, SANDRA WAGANDANA KAMA RUBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPv7bgMctJAOp*3aj3SD*CUQS7tCv1wesyneddiglLAYKsM0c1fvSyoRTimahG2xFc1grNQka*hOjjUs0wsIJ9zA/kadinda.jpg)
KADINDA: NILITAMANI WEMA AWE WANGU
10 years ago
Bongo Movies21 May
Wastara: Siwahi Kuona Kiongozi Kama Steve Nyerere
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amempongeza na kumsifu aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya Bongo Movies Unity, Steven Mengere 'Stive Nyerere' kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi anayeweka wajali na kuwafikiria anaowaongoza.
Wastara alieleza hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya Steve Nyerere akiwa kwenye kaburi la marehemu Adam Kumbiana.
“Hongera kaka kwa kikubwa ulichokifanya maneno yasikuludishe nyuma ukiona unasemwa sana ujue umewashika sijawahi kuona kiongizi wa...
10 years ago
Mtanzania01 Sep
Jenerali Musuguri: Nilitamani kumchinja Idd Amin
![mtanzania 010914](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/musuguri-idi-amin.jpg)
mtanzania 010914
Na Kulwa Karedia, Butiama
MKUU wa Majeshi ya Ulinzi mstaafu, Brigedia Jenerali David Musuguri, amesema aliumizwa sana na ukatili alioufanya aliyekuwa Rais wa Uganda, Idd Amin Dada na kuapa iwapo angemkamata akiwa hai angemchinja.
Jenerali Musuguri aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi kati ya mwaka 1980 hadi 88 wakati wa Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Hayati Mwalimu Nyerere, alisema hayo katika mahojiano maalumu na MTANZANIA yaliyofanyika nyumbani kwake katika Kitongoji cha...
9 years ago
Habarileo10 Dec
JK: Sijawahi kusamehe kodi makontena
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete amesema katika uongozi wake wa miaka 10, hakuwahi kuagiza mtu asamehewe kontena lake lisilipe kodi na angefanya hivyo, mapato ya Serikali yasingeongezeka kutoka Sh bilioni 177 kwa mwezi mpaka Sh bilioni 900.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sjQ7lRKeVr4c9*0ChoWC9BPmEEwUj6rm4Yt10lEha9pMCwsdKSV*KC1QK7XHvyN-TRo07NphFFNM6mFfQvg4hsTljGNw8ITs/1001.jpg?width=650)
MKITOKA UGOMVINI, KUWA MWANGALIFU KUSAMEHE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmESX546Gfc*6j9wKoIYaV68sCM5r8-cSbEFXRrzk-CZQFfgE3835oYVMnfgAausQpgxFYHCJjv1HjxeeVVRe0Z/mahaba.jpg)
JIFUNZE KUSAMEHE YEYE SIYO MALAIKA