Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jenerali Musuguri: Nilitamani kumchinja Idd Amin

mtanzania 010914

mtanzania 010914

Na Kulwa Karedia, Butiama

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi mstaafu, Brigedia Jenerali David Musuguri, amesema aliumizwa sana na ukatili alioufanya aliyekuwa Rais wa Uganda, Idd Amin Dada na kuapa iwapo angemkamata akiwa hai angemchinja.

Jenerali Musuguri aliyekuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi  kati ya mwaka 1980 hadi 88 wakati wa Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Hayati Mwalimu Nyerere, alisema hayo katika mahojiano maalumu na MTANZANIA yaliyofanyika nyumbani kwake katika Kitongoji cha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

aliyejiunganishia maji kinyume na sheria Kimara kwa musuguri matatani

 Wafanyakazi wa kampuni ya Majembe Auction Mart wakifungua mashine ya kutengenezea matofali katika eneo la Kwa Msuguri, Kimara jijini Dar es Salaam.Wizara ya Maji iliamrisha kukamatwa kwa vifaa na mali mbalimbali za Martin Kessy aliyekuwa amejiunganishia maji kinyume na sheria na kufanya biashara ya kufyatua matofali.  Zoezi hilo linaendelea. Zoezi hilo limefanyika jana katika eneo la Kwa Msuguri, Kimara jijini Dar es Salaam jana.  .

 Mwenyekiti wa kamati maalum ya Wizara ya Maji, Eng. Hamis...

 

11 years ago

Mwananchi

Nilitamani kusamehe kama Madiba-Nyerere

Mwigizaji Steve Nyerere, ameonyesha masikitiko yake kufuatia kifo cha Rais wa Kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela (Madiba), akieleza kuwa bado alikuwa akihitaji kujifunza kutoka kwake.

 

11 years ago

GPL

KADINDA: NILITAMANI WEMA AWE WANGU

Stori: Mayasa Mariwata MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda amesema kabla hajawa kiongozi wake, awali aliwahi kumtamani kimapenzi mcheza filamu Wema Sepetu, lakini alighairi baada ya kugundua ni mwanamke wa kudekadeka. Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda. Kadinda alitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati akipiga stori na paparazzi wetu kuhusu masuala mbalimbali yanayomhusu msichana huyo ambaye ana uhusiano wa...

 

5 years ago

CCM Blog

IDD HAMAD IDD AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Kada wa CCM Idd Hamad Idd nae achukua fomu kuwania urais wa Zanzibar kupitia CCM. Ni mtia nia wa 29

 

5 years ago

Michuzi

CGP SULEIMAN MZEE APANDISHWA CHEO NA RAIS MAGUFULI TOKA BREGEDIA JENERALI KUWA MEJA JENERALI



Meja Jenerali Suleiman Mzee ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, akizungumza na Maafisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza(hawapo pichani) mapema leo Juni 3, 2020 katika hafla fupi ya kumpongeza iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma. Meja Jenerali Mzee amepandishwa cheo hicho na Rais na...

 

10 years ago

GPL

MCHUGAJI MBARONI KUMCHINJA MWANAYE

Mwandishi wetu
DUNIA ina mambo! Mchungaji wa kanisa moja mjini Harare nchini Zimbabwe, ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amekamatwa na polisi baada ya kukutwa akitaka kumuua mwanaye wa kumzaa kwa kumchinja na kisu shingoni, kitendo alichokifanya nyumbani kwake mwishoni mwa wiki iliyopita. Mchungaji akiwa chini ya ulinzi. Mchungaji huyo ambaye hata hivyo hakueleweka ni wa kanisa gani, akiwa amevaa nguo zake za...

 

11 years ago

GPL

UNDANI MUME KUMCHINJA MKEWE!

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi. Dada wa Lucas Lomayany Molel (37) anayesakwa kwa kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24), akiwa katika chumba kilichotumika kwa mauaji hayo. Chanzo cha habari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mume akiri kumchinja mkewe London

Mwanamume mmoja amekiri kumchinja na kisha kumkatakata mkewe katika nyumba yao mjini London.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani