KAMA NINGEKUWA STEVE NYERERE NINGE…
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’. KWAKO, Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’. Bila shaka mambo yako yapo safi kabisa. Kuna mambo nataka kukushauri lakini nimeona njia hii ya barua ni nzuri zaidi, maana hutaisoma peke yako. Aisee naitamani sana nafasi yako, maana ningefanya mengi sana, lakini kwa kuanzia ningeanza na haya yafuatayo ambayo naamini...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2I6ALl56YDtHdHhlsGcMl9HFSUiM9lZkkPCFAaZ9Us7FL6V7UEPhGg7CuELPiBw8WPgMsSzRSX-B75*oNTxt7yQ/SteveNyerere.jpg?width=650)
STEVE: KAMA SI USANII NINGEKUWA MAHAKAMANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS3Ht48tPv0pZhQCnB*s8R5hnosO*LixDEi-4fXuBaTABg2aqz4K*DEaSSHrTKjmEwHrLyMIPd3y7DKU6OP2jaIk/SANDRA.jpg?width=650)
STEVE NYERERE, SANDRA WAGANDANA KAMA RUBA
10 years ago
Bongo Movies21 May
Wastara: Siwahi Kuona Kiongozi Kama Steve Nyerere
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma amempongeza na kumsifu aliyekuwa mwenyekiti wa klabu ya Bongo Movies Unity, Steven Mengere 'Stive Nyerere' kwa kumuelezea kuwa ni kiongozi anayeweka wajali na kuwafikiria anaowaongoza.
Wastara alieleza hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya Steve Nyerere akiwa kwenye kaburi la marehemu Adam Kumbiana.
“Hongera kaka kwa kikubwa ulichokifanya maneno yasikuludishe nyuma ukiona unasemwa sana ujue umewashika sijawahi kuona kiongizi wa...
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Zamaradi:Hivi Unahisi Kama Nisingekuwa Mtangazaji Ningekuwa Nani!!???
Mtangazaji wa kipindi bora kabisa hapa nchi cha maswala ya filamu, kipindi cha “TAKEONE” kinachorushwa na kituo cha televisheni cha CLOUDSTV, Zamaradi Mtetema, ambae pia ni muandaaji wa filamu, aliwauliza mashabiki wake kupitia mtandaoni kuwa asingekuwa mtangazaji wanahisi angefanya kazi gani, majibu ya baadhi ya watu ndio yamenifanya swali hili nililete tena hapa kwenu.
Mbali na watu kadhaa kusema angekuwa “MODO”,wengi walisema angekuwa mwanasheria, polisi au wakili....labda ni kutokana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1*rMlkVIS98ahWv1u6XHSaUsZSJsaPIXhPZpto83B5Faf1gcgoEFyQmLBBUKAmsz6u*jczJAQi4Rwpa2RhgYaA-/jack.jpg?width=650)
KAMA IKITHIBITIKA… JACK PATRICK JELA MIAKA 10
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NQs0dYxvfMV*4RbPewXfxMZ7pAnGdsAKNls7*VF2co2WcJgHrX6wL84zfnyYSwXvItqrpc4STKESbQzU1KHjmeJ87dVkoWZ3/mpekkerrcopy.gif)
OYA JOMBAA… KAMA VIPI KULA ZA USO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL12gBntk7IidwiKUPkrHYL*2a8sNj5KZhC6F88T7Qp*ygbl-Kv1bt4vAtjmCfjLz1i*YrSG2N5uXlnaXl3Bxg3-/1pekepeke.jpg?width=650)
OYA…UKITAKA KUJUA KAMA UNA MBIO, OMBA UFUMANIWE!
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Steve Nyerere: Wamenikomoa
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amesema anaumizwa na baadhi ya wasanii ambao hawampi ushirikiano licha ya kumpa kura nyingi siku ya uchaguzi, akisema yaonekana walifanya hivyo ili...
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Steve Nyerere Alishwa Sumu
STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kula chakula chenye sumu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Hurbert Kairuki Memorial iliyopo Mikocheni jijini Dar, Amani linakupa ripoti kamili.
Kwa mujibu wa chanzo, Steve alifika hotelini (jina linahifadhiwa) kupata chakula cha jioni na marafiki zake ambapo baada ya kula kidogo akaanza kulalamika tumbo linamuuma.
“Baada ya kula chakula alianza kushika tumbo na kulalamika kwamba...